Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakimdhuru Serikali ya CCM inatakiwa iwashughurikie, isipowashughurikia basi tutaiambia itwambie nani alimdhuru.Lisu ajihadhari sana na Mbowe, Lema, Halima Mdee na Ester Bulaya, hawa ndio walimpigia kura ya HAPANA hafai kuwa mgombea urais,wanamtaka Nyalandu, ujio wake umewakasirisha wanaweza kumdhuru, asipokee maji ya kunywa, chakula wala kushikana nao mikono
Waungwana wapo uwanja wa Uhuru kumuaga kiongozi wao.Babu yenu jiwe anamuogopa rais wa 2020 mpaka kaomba msaada wa polisi
Muulize babu yenu jiwe anaogopea nini mapokezi ya rais lissu mpaka anaomba msaada wa polisi?mbona sioni wana CHADEMA hapa Airport?
Huu ni ujumbe mzuri wenye maneno ya kujihami, ila wale jamaa wenye kidoti chekundu sijui kama hii lugha wanaielewa.Asante Mungu. Chadema neno letu ni amani, nguzo yetu ni amani. Leo tunampokea Lissu kishujaa na kwa amani. Hatutaki shida wala fujo
Kuna tofauti yoyote?Kumbe anapanda Ethiopians? Yaani Chadema kwanini hamjamkatia KLM au Swiss?
Kwani KLM na SWISS zimeshafungua milango kuja BONGO? hapa ISSUE ni ujio wa RAIS MTARAJIWA TU.
Sura za KaziBila shaka BBC, Aljazeera, CNN, VOA na vyombo vingine vya kimataifa vitakuwepo hapo uwanjani.
Makamanda katika picha wakielekea airport:
View attachment 1518252
PeoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzBila shaka BBC, Aljazeera, CNN, VOA na vyombo vingine vya kimataifa vitakuwepo hapo uwanjani.
Makamanda katika picha wakielekea airport:
View attachment 1518252