Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Kumekuwa na hamasa kubwa katika mitandao ya kijamii juu ya mapokezi ya Tundu Lissu.
Aidha, machapisho mbalimbali yamesisitiza ujio huo tarehe 27/07/2020 na kusisitiza kuwa watu wajitokeze kwenda kumpokea Airport.

Nipo Airport sasa hivi, na siamini ninachokiona kwani Airport ni kweupeee. Hapo ndo utajua wajumbe siowatu.
 
Lisu ajihadhari sana na Mbowe, Lema, Halima Mdee na Ester Bulaya, hawa ndio walimpigia kura ya HAPANA hafai kuwa mgombea urais,wanamtaka Nyalandu, ujio wake umewakasirisha wanaweza kumdhuru, asipokee maji ya kunywa, chakula wala kushikana nao mikono
Kwa nini hawamtaki Lissu ?Au pesa za Nyalandu zinawazuzua ?
 
Jonalist nakupata nikiwa Chato maeneo ya Bwina, tupe yanayojiri bila kuacha kitu! karibu Lissu.
 
Lisu ajihadhari sana na Mbowe, Lema, Halima Mdee na Ester Bulaya, hawa ndio walimpigia kura ya HAPANA hafai kuwa mgombea urais,wanamtaka Nyalandu, ujio wake umewakasirisha wanaweza kumdhuru, asipokee maji ya kunywa, chakula wala kushikana nao mikono
Mambo ya kutiliana sumu yapo CCM, angalia ya Mangula na Mwakyembe!
 
Kamwambie babu yenu jiwe aache ufalas anaogopa nini mpaka kaomba msaada wa polisi?
Ati kaomba msaada unajua maana ya Taasisi ya Rais we kapuku ..unadhani yule dosti wenu kuna ata sisimizi anamstua CHADOMO kwa vituko bhana umnastahili pongezi.
 
Mapokezi ya mitandaoni.
Hao ni kama kuni na vidole mkuu. Vidole vinasogeza/vinasukuma kuni kuingia kwenye mafiga/jiko ili kuni ziteketee lakini kamwe vidole havigusi moto.

Hawa nao wanachochea wenzao waingie kwenye matatizo wao wakiwa kwenye masofa wanachezea cm.
 
Welcome Home TL
Poleh sana kwa kipindi kigumu ulichopitia, ni kwa neema za Mungu tu hadi leo tutakuona tena in our Motherland🙏🏽

Nakuombea Mungu akujalie maisha ya amani milele Amen.,🙏🏽
 
Mbowe amewasili hapo uwanjani?

Au ndiyo mnataka kututumia sisi akina kajamba nani ili tukung'utwe na wazee wa vibaka vyekundi ili kutangaza jina la chama

Mkung'utwe kwa kosa gani? Lisu sio gaidi bali ni mwanasiasa anayerejea nchini baada ya matibabu. Hao mnaowatuma kupiga raia wema kwanini hamjawatuma kuwakamata na kuwapeleka mahakamani watoa rushwa wa ccm kwenye kura za maoni? Au hao polisi ni robots wa kupokea maelezo ya wanasiasa wa ccm, kuwapiga wafuasi wa Cdm bila kosa, lakini wakifumbia macho watoa rushwa wa ccm?
 
Nipo hapa Ukonga tunamalizia kuweka maji ya kuwasha kwenye magari
 
Ati kaomba msaada unajua maana ya Taasisi ya Rais we kapuku ..unadhani yule dosti wenu kuna ata sisimizi anamstua CHADOMO kwa vituko bhana umnastahili pongezi.
Mwambieni babu yenu aache kuteseka Lissu lazima apokelewe kwa namna yoyote ile Sawa mjumbe?
 
Back
Top Bottom