OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
hali inatisha ndugu wajumbeHali ilivyo terminal 3 kwasasa, wafuasi wa Chadema walio jitokeza kumlaki Tundu Lissu
View attachment 1518450
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hali inatisha ndugu wajumbeHali ilivyo terminal 3 kwasasa, wafuasi wa Chadema walio jitokeza kumlaki Tundu Lissu
View attachment 1518450
Nyie watu sasa hamkutaka mwenzenu arudi nyumbani.Wewe ni mpuuzi Mkubwa unaefuatilia mambo ya kipuuzi
POWERPipooooooooooooooooooz
Umeshaingia king. Mataga ku jifanya mpinzani sio kazi rahisi.Aibu yetu,kwani sisi ndio tulipewa jukumu la kukusanya watu!!!!![emoji16][emoji16][emoji16]
Usiulize majibuView attachment 1518455
Niliwaona hapo,kuna muda nilimuona Jokate pande hizi nadhani atakua ana inshu zake nyingine tu.Hivi Dudley na James wako hapo uwanjani?
AminaHakyamungu Chuma kimetua, jamani MUNGU yupo, muuaji anajisikia vibaya sana saa hii, analia machozi na mda wowote mshtuko wa moyo unaweza mpata.
Acheni Mungu aitwe Mungu, loh, kuanzia leo naanza kusadiki Mungu yupo, anaishi!
wewe mikutano yenu kule mnavaaga mask???COVID-19 imeisha?! No more masks, no social distancing etc. Hapa ndio ninatatizwa na sera za vyama vya upinzani hapa nchini.
Cyprian Musiba na Bashite ndiyo wamemtoa kafara mkapa kuzima ujio wa LisuMkapa alikuwa kafara ya Lissu. no more blood will infect our peaceful land.
Nasikia anatembea kam 2pac
Kwani kuna sehemu yoyote nimesema mimi ni ufipa[emoji23][emoji23][emoji23]Umeshaingia king. Mataga ku jifanya mpinzani sio kazi rahisi.
huo ndio mpango mzima, hakuna jinsiMpokeeni Lissu kwa Amani na utulivu tuko kwenye msiba mzito
Hatuwezi kuwa na Rais kichaa