DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ujaenda Uhuru au unamsubiri mzee mgaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
basi furahiSioni hata picha mmoja.
Nasikia uwanja ni mweupe huko, wote tumejazana uwanja wa taifa.
Stupid writer [emoji35]Kuna bantu bame poteza pesa leo.. bamewapa watu bingiii.. bapate chokonoa..
Banalia sana sana..
Magufuli 2020
Huyu jamaa bado anakulaza na viatu licha ya kuwa sio rc. Dah, sijui alikupa limbwata...
Kavurugwa huyoMwana umevuta cha wapi leo? Sikuelewi unajua aisee
Tupo hapo,geuka nyuma.Teh teh teh buku 7 FC umetoka airport?
Mtamtia mtu Kihoro .......... lazima kesi ziazishwe mapema kuzuia hii sunami ....!!Kuzizima [emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1518525
Umebadilishia gia angani tena...hahahahaSerikali imefanya kitu cha maana sana kuwaacha hawa jamaa wakusanyike bila kuwasumbua. Ishu ni wadhamini wake wakimuona maana ndio wanaosumbuliwa mahakani...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa furaha niliyonayo leo lazima ninywe divai.Ccm Wana misiba miwili mpaka sasa:
1. Kifo Cha mkapa
3. Ujio wa Nabii TUNDU LISSU
Amen mkuu.Acheni Mungu awe Mungu
Halima mdee ndio unaandika kihuni namna hii?MEKU ANA HALI MBAYA KAMPIGIA CHAKUBANGA AMRUDISHIE HELA ZAKE WALIZONUNUA MADIWANI NA WABUNGEView attachment 1518520
Ccm Wana misiba miwili mpaka sasa:
1. Kifo Cha mkapa
3. Ujio wa Nabii TUNDU LISSU
Leo unaongea kikongo kesho utaongea kinyarwandaView attachment 1518527
Msipokuwa makini mkaleta bangi zenu,ataingia lissu peke yake.mlikuwa wapi kuaga leo!!!!kwani kwa lissu si mmenda saa 8??Makamanda kama kawaida yetu kesho tutaenda pamoja na rais wetu mtarajiwa kuujaza uwanja wa taifa.
Tutaenda muwaonyesha Mataga kua Lissu ana watu.
Sio kubadilisha.. hana madhara pia nyumbu muache ajinyumbu mwenyewe...Umebadilishia gia angani tena...hahahaha
Uliuona ule mkwara wa Robert Amsterdam? Nani atathubutu.Hii inaitwa mchawi mpe mwanao akulelee.
Polisi,serikali leo nimewavulia kofia trick mliyocheza na hawa mabwana.