Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Mabibi na mabwana moja kwa moja kwenye mada.

Kwa hakika ujio wa Tundu Lissu pamoja na machungu ya msiba tuliyomo, limekuwa jambo la faraja kubwa. Kama nchi kwa Mara nyingine machoni kwa wote tumejijengea heshima kubwa sana.

Kwa hakika washindi ni sisi sote pasipo na kumtaja yeyote katika hili.

Kwetu sisi wote, huu uwe muda wa kuganga yajayo, wandugu yaliyopita si ndwele.

Tujenge nchi yetu katika misingi ya haki na kuvumiliana.

Walisema waswahili ndugu wawili wakigombana chukua jembe ukalime. Siku wakipatana chukua kapu ukavune.

Nchi hii ni yetu sote.

Kama babu Sea alikaribushwa Ikulu, mheshimiwa kumkaribisha Lissu na hata kumjulia hali kutakuwa ni jambo la afya mno.

Kama watanzania tunaweza kuiweka Tanzania mbele kwa vitendo.

Alaaniwe mwenye nia ya kututenganisha!

Mungu ibariki Tanzania.
 
[emoji38][emoji38]
IMG_20200727_151358.jpg
 
Bapo vizuri.. leo mumeonyeshwa amani.. inakuwaje ya nchini.. ila [emoji2][emoji2][emoji2]
Weee nawe Hembu tuambie tafsida nzima ya Amani vinginevyo piga keleleee kwa Lisu wakeee woyoooooooo[emoji3577][emoji118][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732]
 
Lisuu kurudi Tanzania ni habari nyingine.
LISU kuchaguliwa kuwa mgombea wa urais ni habari nyingine.
LISU kuwa RAIS WA TANZANIA PIA NI HABARI NYINGINE.
Usichanganye HIZI HABARI.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app

Ongeza sauti mkuu

Tuko pamoja katika huo msimamo

Mimi toka mwanzo nilisema wamuache arudi kwa amani ni kwao hapa

Wamuache wasimbugudhi afanye kampeni

Wamuache apigiwe kura

Ila kuwa Rais wa Tanzania ni swala jingine ambalo kwa viashiria vyote 2020 hii haiwezekani.

Tutarudi hapa November
 
Mkuu hapa uwanja wa ndege watu wanabubujikwa na machozi.

1:Kumuona mtu aliye pigwa risasi zaidi ya 16 kama tembo mharibifu wa mazao akirudi anatembea kwa miguu yake mwenyewe.

2:Jinsi wana nchi walivyo amua kujitokeza kwenda kumpokea kiongozi wao bila ya kuogopa mikwara ya polis hapo jana.

3: Hata baada ya miaka 5 ya kupigwa stop ya kutokutana kwa shughuli za kisiasa lkn bado watu wapo na mapenzi makubwa sana na cdm.

Hili jambo limewaliza sana watanzania.
Tupia kiongozi, Mimi yananitoka machozi ya furaha huku niliko
 
Back
Top Bottom