Hutaki kunywa sumu tu

Lazima viongozi wa Chadema tuwashtaki, sbb za msingi zipo, hii ni kadhia kabisaπŸ˜… yaani tuko msibani nyie mnasherehekea kurudi Lissu.. Ngoja mtaona
 
walikuwa wafe wao, mimi pekee na team ya ulinzi tulikuwa tuwalaze chini siyo chini ya 20, kuanzia kiongozi wao mkubwa mpaka kuruta wa chini asiye na cheo
Ungethubutu kuwaua uone kwani wananchi nao walikuwa na bastora zao wangekufyekelea mbali kisha viongozi wako wote wanapelekwa mahakama za uhalifu The Hague
 

Kwa fikira za kibanadamu hasa wanaoamini nguvu ya mfumo ni kweli ni ngumu sana ama haiwezekani.

Ila kwa mkono wa Mungu linawezekana asubuhi na mapema sana.

CCM chama changu damu damu, ila nikiimbiwa "tatu bila tatu bila" poa tu.
 
Mungu ni mwema sana
 
🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣 🀣

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…