Uhuru wa nchi gani mkuu?Pendeza sana , Vilema vyenu ni kwa ajili ya UHURU wetu
Haki itatawala hadi milele
Muwe waadilifu
Amen. Allahuakbaryote haya yanawezekana kwa sababu Mungu yupo.
Tumshukuru Mungu ametenda Makuu.Kumbe zile vurugu zote hadi mtoto wa watu Akwilina akauawa ni Makonda! Mpumbavu sana. Ona leo watu tunafurahia demokrasia bila bughudha! Pamoja na Polisi kutoa jamba jamba tumeenda kwa kifua.
Kwani watu walienda kumpokea ndugu yao au walikwambia wanaenda kufanya fujoNi vizuri kama hakuna vurugu.
Hicho ndo wengi tulikihofia.
Nisawa mbona cccm mnajazaga watu wenu kutoka songeaNaona Chadema wamewajaza ndugu zao kwenye magari ya M4C na kuwapeleka Airport.
Nadhani wnaweza kujinyonga leoBashite na cyprian Musiba wapo na waganga wa kienyeji vichwa vinawauma sana
October mkataba wake unaisha, serikali ya watu kwa ajili ya watu, ameshindwa kuboresha maisha ya watzUzi unakimbia huu sio poa hii inaonyesha ni namna gani tumemchoka jiwe na ufisadi wake
Kwa huyo kilema!
As cheerful as always. God Bless this your man the more, Protect him as how the mountains of Zion protects your city.
Comments gani wakati hata huku mtandaoni wamezuga tu "Live" na hakuna hata live yeyoteNgoja niwe hapa nisome comments.
tukutane octobaVipi BP inashukaa inapandaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
utakuwa umeenda Aiport ya ChatoMbona sioni wana CHADEMA hapa Airport?
Viva Tanzania.viva chadema