jana watu walivyokuwa uwanja wa taifa wakimuaga mkapa mbona hukuuliza kuhusu hizo mask kisa ni upinzani ndio wahoji chuki binafs hizo.
Upinzani ndio walikuwa wamaanimi corona ni hatari na hadi wakashinikiza ifanyuke lockdown, wakaenda mbali zaidi wabunge wao wakakacha bunge
 

Kwani mtu akipata Corona anaanguka hapo alipo na kufa? Inawezekana watu wana kufa nyumbani kwao kwa magonjwa ambayo yamewaathiri zaidi kutokana na Corona. Hiyo hatujui kwa sababu watu hawapimwi Corona kwa sababu haipo.

Amandla...
 
Mpeni lissu pole yangu mlio enda kumpokea, maana kapona salama na anatembea vizuri tuu
 
Chadema wameumia sana kupuuzwa na vyombo vya dola. Walitegemea msaliti wa taifa atapewa kiki. Imebuma.

Aiseeee mpuuuzi sana Wewe,huna akili Kabisa.Aibuuuu yenuuuu mlikuwa mnatutisha tusiiende ati mnapolisi wenye magari ya washawasha sasa tumewashinda mnageuza kibao!Malaya wa kisiasa period
 
Nimeamini kuna watu ni pumbavu sana hapa duniani... kabla hujaandika hii comment ulijiuliza km lisu anakuja kwa ajili ya serikali hadi kufanya hiyo serikal kumpuuza..?

Kimsingi wamefanikiwa (kwa mtazamo wako kwamba ni kiki) kwa kuwa cdm lengo umati uwepo, watu waone... ari ya kusupport chama irudi hasa kwa wale wakata tamaa.....

Acha kutafuta sababu ya kupinga..... wakat nafsi yako imekubali baada ya kuona matoke...
 
Police hutumia nguvu isiyo ya lazima baada ya kuamuriwa na RC, au Dc au igp huwa inasikitisha sana
Leo tuone vurugu zitaanzia wapi. Ki asili watanzania sio watu wafujo. Ni kweli sisi ni watu maskini lakini tunakula dagaa na maharage tunalala kwa amani. Tunajuliana hali.

Tunaombeana memana kusaidiana kwa uwezo wetu. Kuna kakikundi kalitaka kutubadilisha asili yetu. Na kashindwe Kwa jina la Masiha Yesu Kristo wa Nazereth. ( Nb. Kuna yesu wa chatle pia)
 
True hivi ndivo polisi inatakiwa maadamu awafunji sheria waacheni jioni watalala wenyewe,unaleta maendeleo kwann uogope upinzani?
Siku zote polisi ndio chanzo cha vurugu, Hakuna mtz yeyeto apendae vurugu
Shida police wao hutekeleza amri kwa kushambulia raia kisa amri bila kupima madhara yake. Unaacha watu waandamanr Linda usalama usiku wakale ma kwao ndio kazi ya police hyo
 
Kumbe Polisi Tanzania huwa wanakuwa na Busara hivi ( hasa hii walioionyesha ) leo hapo JNIA sasa ilikuwaje huko nyuma walikuwa ni Wanoko tu?
 
Noted
 
Bahati mbaya yeye hashaliki wala hasikilizi ushauri, ukimshauri ndio umeharibu kabisaa
Ingemuongezea CV Sana kipindi hichi maana huwezi ua mkizanzano wa mawazo maana hyo ingefanya uchaguzi uwe na amani kwa ajili ya nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…