Ingemuongezea CV Sana kipindi hichi maana huwezi ua mkizanzano wa mawazo maana hyo ingefanya uchaguzi uwe na amani kwa ajili ya nchi yetu.

Kwakweli ila huyu ndugu yetu........
 
Karibu tena Lissu tujenge nchi.
Huku Corona inasemekana hakuna na ilikwisha isha nadhani umejionea hata wafuasi wamekuthibitishia hilo kwa vitendo. Imekwishaje mimi sijui.
Bila shaka kesho utamsindikiza Mzee wetu Mkapa japo aliwaiteni wapumbavu mwaka 2015 mkalalama kuwa mmetukanwa.
 
Hii ni siku kubwa na kwa msingi huo nimeamua kuwapa uhuru wote niliowaweka kwenye ignore list yangu na sasa nimeweza tena kuzisoma posts zenu lakini duh! Hakika Mungu ni mkubwa, Mungu ni taa na penye mwanga giza ni marufuku...asante Mungu kwa kuangaza kwa mwanga mkali ndani ya taifa letu na kusababisha shetani na wafuasi wake kuumbuka na kuanza kutafuta pa kuficha nyuso zao.
 
Walitakiwa 30 tuu mbona wamekuja wengi sana
 


Jr[emoji769]
 
Huu ni ujumbe kama tuna tume huru Mwamba anachapa mapema tu saa 4 asubuhi

What are the actual numbers ya watu kwenye hiyo nyomi?

Kuiacha hisia na kutumia uhalisia, hugo nyomi yote ipige kura, halafu zidisha mara kumi, Kira milioni 6 zitafika? Kama zitazidi milioni 6 zitatoboa ushindi?

Upinzani bado utasubiri sana kuchukua dola. Amsha amsha iendeleetu.

Tundu karibu nyumbani kumenoga.
 
[emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3590][emoji1665][emoji170][emoji1665][emoji3590][emoji1665][emoji170][emoji1665][emoji170][emoji3590][emoji1665]
 
Tundu Lissu anapendwa na vyombo vyote vya Dola ni vile tu hawajiweki wazi. Vyombo vya dola vinajua maamuzi ya Jpm hayana tija kwa taifa.
 
Hata nyati hapigwi Risasi 30. Mbili au Tatu tu chali. Ni upotevu wa risasi kuua nyati mmoja kwa risasi 30.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…