Kwendaaaa uko mnafiki mmoja wa ccm.

Weken mpira kati, Refa asiwabebe.. LISSU ANASHINDA ASUBUH KWEUPE.


Ipo hivi, watu wanataka kuona CCM inatoka madarakani km vilivyo vyama vikongwe Afrika.


Nyambafu.
 
Allahuakbar
 
Hadithi ya kupigwa risasi 38 bila kufa haiwezi kuichosha dunia ya leo wala itakayokuja.

Ni kama vile wana wa Israel walivyopita bahari ya Shamu kwa uwezo wa Mungu.
 
Makamanda tusisahau kumpa tuzo ya heshima mke wa Tundu Lissu.

Ni mwanamke wa kipekee sana.
 
Reactions: Pep
Wakati wa kampeni Magufuli ataenda tu kusalimia , hakuna cha lisu wala mbowe
Safari hii sio push up pekee kuomba kura,atabanwa mbavu mpaka aanze kupiga sarakasi na kichura chura jukwaani kuomba kura!
 
Marehemu hasemwi kwa mabaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…