Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Msafara unaendelea. Tupo Magomeni
IMG_20200727_165137_9.jpg
IMG_20200727_165136_6.jpg
IMG_20200727_165133_2.jpg
IMG_20200727_164717_131.jpg
IMG_20200727_164707_596.jpg
IMG_20200727_164712_786.jpg
IMG_20200727_164716_194.jpg
IMG_20200727_164706_348.jpg
IMG_20200727_162626_8.jpg
IMG_20200727_162558_0.jpg
IMG_20200727_162557_0.jpg
IMG_20200727_162423_323.jpg
IMG_20200727_171438_9.jpg
IMG_20200727_172617_637.jpg
IMG_20200727_173131_596.jpg
 
What are the actual numbers ya watu kwenye hiyo nyomi?

Kuiacha hisia na kutumia uhalisia, hugo nyomi yote ipige kura, halafu zidisha mara kumi, Kira milioni 6 zitafika? Kama zitazidi milioni 6 zitatoboa ushindi?

Upinzani bado utasubiri sana kuchukua dola. Amsha amsha iendeleetu.

Tundu karibu nyumbani kumenoga.
Kwendaaaa uko mnafiki mmoja wa ccm.

Weken mpira kati, Refa asiwabebe.. LISSU ANASHINDA ASUBUH KWEUPE.


Ipo hivi, watu wanataka kuona CCM inatoka madarakani km vilivyo vyama vikongwe Afrika.


Nyambafu.
 
Hii ni siku kubwa na kwa msingi huo nimeamua kuwapa uhuru wote niliowaweka kwenye ignore list yangu na sasa nimeweza tena kuzisoma posts zenu lakini duh! Hakika Mungu ni mkubwa, Mungu ni taa na penye mwanga giza ni marufuku...asante Mungu kwa kuangaza kwa mwanga mkali ndani ya taifa letu na kusababisha shetani na wafuasi wake kuumbuka na kuanza kutafuta pa kuficha nyuso zao.
Allahuakbar
 
Story hiyo hiyo kila siku we get it; vipi mambo ya budget deficit, uchumi, dawa, matibabu, elimu, umeme, miundombinu etc.

Hata hao ACCACIA wake washaingia mitini sasa story yake itabaki risasi 16 tu kama tumemsikia mara ya kwanza tukaelewa, majanga yaliyomkuta na tukasikitika nae; basi tushamsikia mara zote hadithi yake inaanza kuchosha what next.
Hadithi ya kupigwa risasi 38 bila kufa haiwezi kuichosha dunia ya leo wala itakayokuja.

Ni kama vile wana wa Israel walivyopita bahari ya Shamu kwa uwezo wa Mungu.
 
Makamanda tusisahau kumpa tuzo ya heshima mke wa Tundu Lissu.

Ni mwanamke wa kipekee sana.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Karibu tena Lissu tujenge nchi.
Huku Corona inasemekana hakuna na ilikwisha isha nadhani umejionea hata wafuasi wamekuthibitishia hilo kwa vitendo. Imekwishaje mimi sijui.
Bila shaka kesho utamsindikiza Mzee wetu Mkapa japo aliwaiteni wapumbavu mwaka 2015 mkalalama kuwa mmetukanwa.
Marehemu hasemwi kwa mabaya
 
Back
Top Bottom