Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Ukimwi umeua ndugu zangu wa karibu kabisa kuanzia mwaka 1992.Vinafanana kwa jinsi vinavyopokewa na jamii. Una ndugu yako aliyetangazwa hadharani kuwa kafa kwa Ukimwi? Au uko kama mimi, Ukimwi haujagusa kwetu?
Amandla....
We umetulia?Fala sana shehe, Mbona hutulii?
Sitarajii kuona comments ya namna hii kutoka kwakoHivi unajuwa wewe ni kiazi kuliko viazi wote humu? Wewe ni mshamba tu hata ufanyeje! Mshamba haswa! Umle dada yangu una hadhi wewe shamba boy? Halafu wewe ni unaliwa samvu kopo?
We ni mtoto wa watu huniambii kitu! Itakuwa uko US kwa kodi zetu kima wewe! Haujui hata Tanzania!
Ukiacha mauaji ya ya mwaka 2000 lkn angalau mzee aliishi na wapinzani vizuri hakuwafunga ,hakuwanyanyasa...Alipenda demokrasia ikuee sana.Bahati mbaya mwenyewe hakuiishi hiyo hotuba, ndio uwajue African leaders
Risasi zilitumika kuondoa kigezo cha kuwa rais, yaani mtu akifa hawezi kuwa rais.Na hizo risasi ndio kigezo cha kuongoza nchi, ama kuna lingine?
Kati ya intelijensia zote tatu hii ya mamlaka za nchi ndio inaangaliwa kwa karibu mno kwakuwa chochote itakachokifanya kitaonwa na kusikika kimataifa. Hapa ndio panahitajika kuwa na washauri wenye weledi mkubwa na hekima ya kuamua mambo ya kitaifa
Nu vema intelijensia hii ikazishauri mamlaka ziruhusu mapokezi bila fujo na bila kutunishiana misuli, watakuwa wamefanya jambo moja kubwa sana.View attachment 1518610
Jr[emoji769]
Tupate na elimu ya uraia bure (hoja zilizoshiba)Bora amerudi ili tupumue
Nyie mwenyekiti wenu alishindana na nani?Kwani Nyalandu mmempiga chini? Huu mchakato ulifanyika lini?
Habari ya siku chifu......hakika leo nimeona katiba inafuatwa kama ilivyokuwa miaka ya 2010 hadi 2015 kwa kiasi chake
Wengi mno.Mkuu hao mbona ni wengi sana huku kitaaa?
OkKwa hiyo msemaji wa polisi alikuwa anapingana na Magufuli?
Hoja zako zote zina mashiko ila zimegemea katika tukio la ujio na si matokeo ya ujio wake. Hapo ndio yunatofautiana
Nipo chifu, niliingia ganzi baada ya kuona siasa za upinzani zimepooza....hakika leo nimepata matumaini mapyaaDuuu ndugu yangu upo? Kimya sana mkuu karibu sana.
Daudi hujanielewa, nilikuwa namjibu UVCCM aliyesema kuwa hadithi ya kupigwa risasi imeshachosha.baaasi usilie tulia sindano ikuingie taratibu.
Najiuliza aliyeagiza auawe ana hali gani!?
Bora ukweli usemwe.Bado nipo nimepokea picha zaidi ya mia tano za Msafara wa Lisu, mm ni ccm damu damu lakini ukweli usemwe tu, Lisu ana nguvu ya kiushawishi isiyo ya kawaida...
Tanzania ni kama vile tumesha sahau kama kuna msiba wa kitaifa...
na report kutoka hapa Illinois Marekani mm ni Waziri wa kaskazini Jf
wananchi tumewachoka aisee
We babu malasta kitulize basi!We umetulia?
Halafu baada ya hapo anakutana na akina mama wamepanga nyanya mpaka barabarani, itabidi awashangilie CCM kwa juhudi za kuleta ufukara.Ni muda sasa wa yeye kujionea Magufuli is becoming somewhat a Saint kutokana na kazi.
Kuna mtu kadai baada ya kuona terminal 3 kidogo Lissu mwenye aseme CCM oyee.