Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye Binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli Tena kwa lugha zenye ukakas na zenye kuonyesha chuki Ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundulisu kua Huu Msiba Sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehem Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiw kwenda hata kumuona Sababu Ile itakua shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu
Acha uongo
 
Wakuu habari za Leo,natumaini mu wazima wa afya tele.

Naomba tulejee kwenye mada husika, Leo ilikuwa ni siku murua ya kumpokea ndugu T.Lissu ambapo wafuasi wa chadema na mabeberu walitegemea kuwa watu wengi wangejitokeza kumpokea Mwamba Lissu .

Chakusikitisha na kushangaza ni kwamba watu walofika katika mapokezi hayo ambayo yamelipotiwa na vyombo vya ndani pamoja na vya mabeberu kuwa hawakuweza kufika hata elfu moja kama ambavyo wengi walitegemea

Hii ni salamu tosha kwa wasaliti wote,na kama lissu anamtazamo wa kuupata urais wa Jamhuli ya watu wa Tanzania nadhani Leo amejionea na kutambua kuwa watanzania hawana muda naye.View attachment 1518889View attachment 1518891


Acha kuchekesha watu. T.L lazima mtafungua threads za uongo kila muda ili kujifariji
 
Hilo ndiyo ombi kuu la watanzania wapenda amani
Najua ndio kwanza ukurasa umefunguliwa, mengi yatafuata na hatujui yatakuwa na sura gani ila Mungu muweza aliyeweza kumlinda aendelee kumlinda nasi tuishi kwa amani. Sijajua hawa jamaa leo walitulia kwa sababu ya msiba au walidhamiria kweli kuleta utulivu na amani. Tuendelee kudumisha demokrasia na kuacha siasa chafu na zenye chuki.
 
Wakuu habari za Leo,natumaini mu wazima wa afya tele.

Naomba tulejee kwenye mada husika, Leo ilikuwa ni siku murua ya kumpokea ndugu T.Lissu ambapo wafuasi wa chadema na mabeberu walitegemea kuwa watu wengi wangejitokeza kumpokea Mwamba Lissu .

Chakusikitisha na kushangaza ni kwamba watu walofika katika mapokezi hayo ambayo yamelipotiwa na vyombo vya ndani pamoja na vya mabeberu kuwa hawakuweza kufika hata elfu moja kama ambavyo wengi walitegemea

Hii ni salamu tosha kwa wasaliti wote,na kama lissu anamtazamo wa kuupata urais wa Jamhuli ya watu wa Tanzania nadhani Leo amejionea na kutambua kuwa watanzania hawana muda naye.View attachment 1518889View attachment 1518891
Wewe hata pole hutaki kutoa kwa Lissu lakini unalazimisha tutoe pole kwa nkapa
 
Kumbuka hao mamia ya watu ni wale waliojitoa muhanga bila kuogopa policcm waliokataza watu wasimpokee Lissu.
Je wasingekataza unadhani wangekuwa ni watu kiasi gani?
Tumia akili dada mkubwa.!!
 
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
Ni kweli alisema hivyo ,lakini mwishoni akajisahihisha na kusema Rais wetu.
 
Wakuu habari za Leo,natumaini mu wazima wa afya tele.

Naomba tulejee kwenye mada husika, Leo ilikuwa ni siku murua ya kumpokea ndugu T.Lissu ambapo wafuasi wa chadema na mabeberu walitegemea kuwa watu wengi wangejitokeza kumpokea Mwamba Lissu .

Chakusikitisha na kushangaza ni kwamba watu walofika katika mapokezi hayo ambayo yamelipotiwa na vyombo vya ndani pamoja na vya mabeberu kuwa hawakuweza kufika hata elfu moja kama ambavyo wengi walitegemea

Hii ni salamu tosha kwa wasaliti wote,na kama lissu anamtazamo wa kuupata urais wa Jamhuli ya watu wa Tanzania nadhani Leo amejionea na kutambua kuwa watanzania hawana muda naye.View attachment 1518889View attachment 1518891
Naona sindano imekuingia vyema maungoni mwako baada ya leo mh Lissu kupokewa kama mfalme.
Screenshot_20200727-172213.jpeg
20200727_162107.jpeg
 
Wakuu habari za Leo,natumaini mu wazima wa afya tele.

Naomba tulejee kwenye mada husika, Leo ilikuwa ni siku murua ya kumpokea ndugu T.Lissu ambapo wafuasi wa chadema na mabeberu walitegemea kuwa watu wengi wangejitokeza kumpokea Mwamba Lissu .

Chakusikitisha na kushangaza ni kwamba watu walofika katika mapokezi hayo ambayo yamelipotiwa na vyombo vya ndani pamoja na vya mabeberu kuwa hawakuweza kufika hata elfu moja kama ambavyo wengi walitegemea

Hii ni salamu tosha kwa wasaliti wote,na kama lissu anamtazamo wa kuupata urais wa Jamhuli ya watu wa Tanzania nadhani Leo amejionea na kutambua kuwa watanzania hawana muda naye.View attachment 1518889View attachment 1518891
Mpumbavu mkubwa!
 
😅TIA NENO!

Leo ni sikukuu kubwa sana kwa watetezi wa haki, demokrasia na uhuru wa kujieleza Tanzania, baada ya mapokezi ya amani ya Commander LISSU, tuliyemkosa kwenye ulingo wa siasa za Bongo kwa kiasi cha miaka mitatu!

Katika pitapita yangu mitandaoni nimekutana na hii 'cartoon' iliyoniacha Sina mbavu!



😅😅😅😅😅😅😅💥

Nawakaribisha wadau kutia neno lolote linaloendana na hiyo picha au, kwa lugha ya wenzetu, 'PLEASE CAPTION THE PHOTO'!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Back
Top Bottom