Chadema ni chama cha watu wastaarab na wafuata sheria.Ha ha ha Wamekuja kistaarabu km wanandugu wanavyopokea mwanafamilia TU...
Ile Mikwara Yao Kuwa WATAJAZANA wala Haipo looh makomandoo wa JF๐๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ni chama cha watu wastaarab na wafuata sheria.Ha ha ha Wamekuja kistaarabu km wanandugu wanavyopokea mwanafamilia TU...
Ile Mikwara Yao Kuwa WATAJAZANA wala Haipo looh makomandoo wa JF๐๐๐๐๐๐
Lissu jembeRais wa familia yako.
Tupo njiani tunakuja. Akitua mwambie atusubiri.Mkombozi, shujaa Lissu yupo anga ya Kenya. Welcome home brother.
Mbarikiwe sana viongozi.Bila shaka BBC, Aljazeera, CNN, VOA na vyombo vingine vya kimataifa vitakuwepo hapo uwanjani.
Makamanda katika picha wakielekea airport:
View attachment 1518252
Ustaarabu mmeuanza Leo hapa AIRPORT eee?๐๐ Basi hongereni kwa kubadilika.....Chadema ni chama cha watu wastaarab na wafuata sheria.
Ona huko.Lissu jembe
Mbona unateseka hivi?Rais wa mtandaoni, hatoamini akipokelewa na watu wasiozidi kumi.
Tatizo Makamanda mumejazana nyuma ya keyboard tu, wakati hapa uwanjani watu ni wachache.Fundi wao karibu sana nyumbani mungu ni mwema
Hivi Watu wakianza kupigwa Live hapo airport,Je mtatupa hizo.updates???
Kwani Ethiopians ina nini mkuu...?