wambagusta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 2,825
- 2,292
shujaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio umati? Mbona simuoni mwenyekiti wa Chama?
Nani kakudanganya...Yuko Sugu Heche Cathy Ruge na mazwazwa wachache...wametuli haooo kwenye viti stori mbili tatu TU....Nimeambiwa magari yamejaa wanachama na watanzania kwa maelfu kuja kumlaki kiongozi wao mpendwa TL hapa uwanjani.
kuna kupita na kujipitisha usituchanganyie hapaZAB. 23:4
"Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji".
"Even though I walk through the darkest valley, I will fear no evil, for you are with me; your rod and your staff, they comfort me"
Polisi ukijielezea unapoelekea ndo Wanaruhusu. Lalikini kuna baadhi ya Wafanyakazi(Walinzi wa Uwanja, sio Polisi) ndo wanakataza watu kuingia.
Msiyemtaka kaja.kuna kupita na kujipitisha usituchanganyie hapa
Mlitangaza wenyewe kuwa mtajazana hapa terminal 3.Hautakiwi umati, maana ndio wanasiasa wa ccm wataagiza polisi waumuze watu kwa wivu wa kisiasa.
Mlitangaza wenyewe kuwa mtajazana hapa terminal 3...malofa nyinyi...
Sijadanganywa maana na mimi nipo hapa uwanjaniNani kakudanganya...Yuko Sugu Heche Cathy Ruge na mazwazwa wachache...wametuli haooo kwenye viti stori mbili tatu TU....
Nipigie pia mkuu 0753980109 niko hapa nampokea kmanda lisu.Tutafutane nipo hapa mazeee 075578908 kumpokea jembe
Nani kakudanganya...Yuko Sugu Heche Cathy Ruge na mazwazwa wachache...wametuli haooo kwenye viti stori mbili tatu TU....
Hahahaaa..... hatari sana.Nipigie pia mkuu 0753980109 niko hapa nampokea kmanda lisu.
Mkuu asikuongopee mtu, hakuna mtu wa kupigwa hapa.Hivi Watu wakianza kupigwa Live hapo airport,Je mtatupa hizo.updates???
Mitandaoni...Tulitangaza wapi dogo?