Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Mzee baba kafika tayari..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee baba kafika tayari..
Tupieni hata picha basi.Nenda kachangie kwenye uzi wa kada wa ccm, ambaye wakati fulani aliwahi kuwa rais wa Tanzania, maana umedoda huko. Usipoteze muda kwenye uzi wa Lissu.
Tayari amefikaHajafika tu?
Yote ni mabasi yanayopita angani
Hii taka ngumu umeitoa wapi?!Msitujaribu, tumekuja sasa.. [emoji1][emoji111][emoji123]View attachment 1518370
Kama maombolezo yanavyofanyika mitandaoniMapokezi ya mitandaoni.
Maadamu hizi ni taarifa za mkaguzi mkuu wa mahesabu wa Chadema, "I Accept" 😂😂Katika hii miaka mitano tu ya utawala wa jiwe, zaidi ya trilioni 2.5 HAZIJULIKANI ZILIPO. Pesa hiyo ni zaidi ya UFISADI wote uliofanyika kwa awamu zote tangu tupate uhuru, unapata wapi ujasiri wa kushabikia na kutukuza MHALIFU wa kiwango hicho Mkuu n.g.u.r.u.w.e wa lumumba?
Mwenyewe yupo eneo la haki, alishafika dakika ile ile alipokata roho, hicho mnachokiaga ni mwili tu ambao ni udongo.Waungwana wapo uwanja wa Uhuru kumuaga kiongozi wao.
Lema ameshasikika mara nyingi kumfanyia hujuma Tundu lisu, lakini bora afike salama asome upepo akiona hawaeleweki ahamie ACT ama apumzike siasa aangalie maisha mengine mtaani , mbowe anajidanganya kumsapoti nyalandu hukutaleta wabunge chadema zaidi ya kuambulia patupu tuLisu ajihadhari sana na Mbowe, Lema, Halima Mdee na Ester Bulaya, hawa ndio walimpigia kura ya HAPANA hafai kuwa mgombea urais,wanamtaka Nyalandu, ujio wake umewakasirisha wanaweza kumdhuru, asipokee maji ya kunywa, chakula wala kushikana nao mikono
Kama ni hivyo asingepanda hata ndege, yaani apone risasi 38 halafu aogope jela, mbona ameshawekwa ndani sana kipindi cha Mkapa na MagufuliLisu hapo alipo kwenye ndege akifikiria maisha ya jela kijasho kinamtoka