Me I and my self
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 4,077
- 8,828
Kwani we ulitaka pawe na fujoAirport Shwariiii,kikundi KIDOGO Cha kina Sugu kimetulia kimyaaa Wala hawana mabango Wala nini malofa Hawa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani we ulitaka pawe na fujoAirport Shwariiii,kikundi KIDOGO Cha kina Sugu kimetulia kimyaaa Wala hawana mabango Wala nini malofa Hawa...
kwani kumpokea Mgeni ni fujo? Kule Zanzibar walipompokea mwinyi walifanya fujo?Airport Shwariiii,kikundi KIDOGO Cha kina Sugu kimetulia kimyaaa Wala hawana mabango Wala nini malofa Hawa...
kwani wamekwambia wanaenda kufanya fujo au kumpokea kiongozi waoAirport Shwariiii,kikundi KIDOGO Cha kina Sugu kimetulia kimyaaa Wala hawana mabango Wala nini malofa Hawa...
CopyrightsWeka supporting documents (Picha)Tuwaone mlivyonoga.
Hawa security wa TAA ndo wengi Makhirikhiri na jamaa wa Airwing
Nadhani mmeshajua msukumo mkubwa unatokea wapi.
Naombea Amani itawale pande zote ziwe na busara ba haya mapokezi yamalizike vizuri. Kashaumia sana TL hakuna haja ya kuendelea kusumbuana nae.
Amen
Lema ameshasikika mara nyingi kumfanyia hujuma Tundu lisu, lakini bora afike salama asome upepo akiona hawaeleweki ahamie ACT ama apumzike siasa aangalie maisha mengine mtaani , mbowe anajidanganya kumsapoti nyalandu hukutaleta wabunge chadema zaidi ya kuambulia patupu tu
Wewe ni nyani? Mbona upo airportAirport hamna watu,fanyeni basi muende,mbona mnazuga watu?
Katika hii miaka mitano tu ya utawala wa jiwe, zaidi ya trilioni 2.5 HAZIJULIKANI ZILIPO. Pesa hiyo ni zaidi ya UFISADI wote uliofanyika kwa awamu zote tangu tupate uhuru, unapata wapi ujasiri wa kushabikia na kutukuza MHALIFU wa kiwango hicho Mkuu n.g.u.r.u.w.e wa lumumba?
Mmetanguliza polisi ili mtutie kilemaNiko hapa Airport, kwani wengine mko wapi, nyie watu wa mitandaoni ni wachochezi sana aisee
Sitawaamini tena, watu ni kidooogo Sana hapa kuliko uwingi wa watu wa mitandaoni,