minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Mbowe kaingiwa na wivu baada ya kuona Tundu Lisu amekubalika zaidi ya nyalandu ambaye sasa anachepuka na mdee na pia mbowe anataka kuvuta pesa toka CCM awawekee garasa nyalandu ili CCM washinde kiwepesi lakini yeye katengeneza pesa, hii ndiyo hali halisi.Mimi sielewi hapa.
LISU ni chaguo la chama au la wafuasi?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app