Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Mimi sielewi hapa.
LISU ni chaguo la chama au la wafuasi?

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mbowe kaingiwa na wivu baada ya kuona Tundu Lisu amekubalika zaidi ya nyalandu ambaye sasa anachepuka na mdee na pia mbowe anataka kuvuta pesa toka CCM awawekee garasa nyalandu ili CCM washinde kiwepesi lakini yeye katengeneza pesa, hii ndiyo hali halisi.
 
Na siku ya kupiga kula huwa inakuwa hivyo, wapiga kelele wengi siku ya siku wafyata mikia yao.
Niko hapa Airport, kwani wengine mko wapi, nyie watu wa mitandaoni ni wachochezi sana aisee

Sitawaamini tena, watu ni kidooogo Sana hapa kuliko uwingi wa watu wa mitandaoni,
 
Mbowe kaingiwa na wivu baada ya kuona Tundu Lisu amekubalika zaidi ya nyalandu ambaye sasa anachepuka na mdee na pia mbowe anataka kuvuta pesa toka CCM awawekee garasa nyalandu ili CCM washinde kiwepesi lakini yeye katengeneza pesa, hii ndiyo hali halisi.
.
Screenshot_2020-07-05-21-16-14-1.jpg
 
Hao ni kama kuni na vidole mkuu. Vidole vinasogeza/vinasukuma kuni kuingia kwenye mafiga/jiko ili kuni ziteketee lakini kamwe vidole havigusi moto.

Hawa nao wanachochea wenzao waingie kwenye matatizo wao wakiwa kwenye masofa wanachezea cm.
Kwenda kumpokea mtu ni kutafuta matatizo?
 
Niko hapa Airport, kwani wengine mko wapi, nyie watu wa mitandaoni ni wachochezi sana aisee

Sitawaamini tena, watu ni kidooogo Sana hapa kuliko uwingi wa watu wa mitandaoni,
Wewe upo airport ya chato unalalamika nini
 
Back
Top Bottom