Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,895
- 20,392
Mkuu pole wajumbe wamekukata kende
😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu pole wajumbe wamekukata kende
Hata we mwenyewe unajua wazi kwamba huwezi kumchagua, unajitutumua tu humu mtandaoniUtajua sasa hutaki rudi kwenu Burundi
Tumeshakamilisha jinsi ya kudeal naye akiwa ndani.Sio busara, donors wameamuru asibughudhiwe.
Nakuelewa broNimetumiwa picha za airport kuna nyomi si mchezo...
nariport kutoka Illinois Marekani ni mimi Waziri a kaskazini wa Jamiiforums
Kwa huyo kilema!Leo, naijulikane leo, mioyo ya watanzania iko upande upi.
Kwani tangu lini mgonjwa wa akili alivunja sheria!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Naona lugha imeshabadilika, sasa sio tena dsm haijazizima!Sasa hapo umeonewa nini? Mara ooh Serikali ya CCM haijafanya lolote. Oneni sasa mnavyoifurahia Terminal III
hivi amekuja kweli duh... amechafua hali ya hewa
Jidanganye matagaSioni hata picha mmoja.
Nasikia uwanja ni mweupe huko, wote tumejazana uwanja wa taifa.
Chadema wameumia sana kupuuzwa na vyombo vya dola. Walitegemea msaliti wa taifa atapewa kiki. Imebuma.
Haya wahi ukanywe dawa!Utajua leo dadeeeki chuma ndiyo hichoooo kishatua Tanzania na baada ya October kinaapishwa rasmi kuwa rais wako
Kwa chombo kipi ? Ujue tcra nao wanafuatilia ujio huuChadema mmezingua kutorusha live
Hahaha tuletee picha za uwanja wa taifa.Sioni hata picha mmoja.
Nasikia uwanja ni mweupe huko, wote tumejazana uwanja wa taifa.
Mmawia upoo? CHADEMA ndo ishahifia. Atawazidi mpaka Zitto KabweWewe mwenyewe mchafu
Hata WATETEZI TV pia haitoi sautiNyie JF mbona kule Facebook hamna SAUTi jamani kulikoni?