cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Malizia kukata gogo uje uandike tena.
๐๐๐๐๐
Bajameni.. kata wewe..
Leo kuhuzuni msiba na kufuraha ya chama tawala..
Bamewaweza..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia kukata gogo uje uandike tena.
It has been quite a fair bargain, for lissu to come back, Mkapa had to go.Huku mtaani maisha yanaendelea kama kawaida. Hakuna mtu ana muda na msaliti wa taifa. Tunasikitika kumpoteza mzee wetu mpendwa Mkapa.
Angefanyaje sasa? Hii ni nchi siyo saccos kama ilivyo chademaUnamjua Robert Amsterdam wewe? Wangejaribu kufanya ujinga wao waone kilimchomtoa Gadafi madarakani.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]mkuu pole sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwayo sasa hivi mmegeuka wahenga ?Ccm wana akili sana wanajua kula na vipofu kama nyie!
Ukila na kipofu hutakiwi kumshika mkono
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kongole kwa mkuu mpya wa mkoa wa Dar es Salaam. Huyo sasa ni mtumishi wa umma na mpaka hatua hii ameshajitofautisha na machokoraa kama Makonda
Si huwa mnasema watu ni joblessLeo ni siku ya kazi tena katika ya mchana watu ni wengi sana kuliko wanao rushwa live tuliopo viunga vya karibu tunaona hali halisi
Naona unakata mauno hapo na maboko likoloo...Tuliza mshono wewe tuwachie midume tufanye yetu
Kwan CCm wana tv yao...idiotHivi nyie CHADEMA hamna tivii yenu?
Tulia sindano iingie vizuri" Kunguru pori"Angefanyaje sasa? Hii ni nchi siyo saccos kama ilivyo chadema
Unamjua Robert Amsterdam wewe? Wangejaribu kufanya ujinga wao waone kilimchomtoa Gadafi madarakani.
Teh teh teh buku 7 FC umetoka airport?Nimetoka na msafara airport,siwezi sifia unafiki.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
![]()