Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
brazaj hebu njoo utie neno huku.

Nilikuwa namalizia kushughulika na zwazwa mmoja anajiita z-complex akidhani JF ni army barracks. Nadhani atakuwa kanielewa.

Mkuu kukosekana kwa taarifa sahihi ni tatizo kubwa kuliko yeyote anavyoweza kufikiria.

Watu tuko confused tufanye nini tuache nini.

Tumetekelezewa janga na hivyo sote "maji ga nyanja" maneno wa mwalimu. Tunaendelea kuwa wahanga watarajiwa. Na uzi huu kuendelea kutuhusu:

Kutoka kwa wahanga watarajiwa wa Covid-19
 
Ina maana siku zote hizi ulikuwa husadiki? Au muhemko
Kusadiki ni kubwa na imani fulani kwa kitu / jambo ambalo laweza kuwa kweli au si kweli. Muujiza wa kupona kwa TAL umezidisha au kuinua imani za watu kwa kusadiki kuwa MUNGU YUPO na yu HAI.
 
Habari wadau

Mh Tundu Lissu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikali ya Tanzania na sijui kwanini hajirekebishi.

Leo wakati amewasili katika ofisi za chama wakati anaongea na waandishi wa habari kasema kuwa

Namnukuu ''Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao aliyekuwepo madarakani kwa miaka kumi na kusema kuwa kesho ataenda kutoa pole kwani msiba siyo wa Magufuli peke yake''

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha wazi kabisa kuwa yeye binafsi Marehemu hakumtambua kama Rais wa Tanzania ila Rais wa CCM

Pili Tundu Lissu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli tena kwa lugha zenye ukakasi na zenye kuonesha chuki ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundu Lissu kuwa huu msiba sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehemu Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiwi kwenda hata kumuona Sababu Ile itakuwa shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu.
 
Tangu Janga la Corona lianze Wapinzani wote Tanzania wakiongozwa na CHADEMA walikuwa wakibeza na kupinga kila hatua iliyokuwa ikichukuliwa na serikali kwenye kupambana na Corona. Mh Mbowe yeye alienda mbali zaidi akadai Kuna mamia ya watu wanakufa na kuzikwa usiku huku hospital kama Amana na Mloganzila zikiwa zimefurika wagonjwa.
Hawakukubaliana na Chochote kwenye Mapambano dhidi ya Corona badala yake walikuwa wakisifia mataifa jirani huku wakidai serikali ya Tanzania imeamua kuua watu wake makusudi kwa Corona hadi ikafikia hatua wakasusia bunge.

Sasa leo ni ajabu watu hawa wanao amini kuwa kuna mamia ya watu wanakufa kwa Corona Tanzania wanafanya mikusanyiko tena bila tahadhari yoyote.
View attachment 1518743
View attachment 1518745View attachment 1518747View attachment 1518748

Huyu nae alikuja akiwa amevaa barakoa ila alipofika JNIA akaivua
Inamaana ameivua kwasababu anajua amefika sehemu salama.
View attachment 1518752

View attachment 1518756
View attachment 1518758

Kwa hali hii tukiwaita wanafiki wala hatutakuwa tumekosea.

Wala hoja yako sio Corona, bali idadi iliyojitokeza kumpokea Lissu bila vurugu. Imebidi uje na huu uzi wa kupoza machungu. Ww si ndio ulileta uzi wa vitisho vya kijinga jana?
 
Tangu Janga la Corona lianze Wapinzani wote Tanzania wakiongozwa na CHADEMA walikuwa wakibeza na kupinga kila hatua iliyokuwa ikichukuliwa na serikali kwenye kupambana na Corona. Mh Mbowe yeye alienda mbali zaidi akadai Kuna mamia ya watu wanakufa na kuzikwa usiku huku hospital kama Amana na Mloganzila zikiwa zimefurika wagonjwa.
Hawakukubaliana na Chochote kwenye Mapambano dhidi ya Corona badala yake walikuwa wakisifia mataifa jirani huku wakidai serikali ya Tanzania imeamua kuua watu wake makusudi kwa Corona hadi ikafikia hatua wakasusia bunge.

Sasa leo ni ajabu watu hawa wanao amini kuwa kuna mamia ya watu wanakufa kwa Corona Tanzania wanafanya mikusanyiko tena bila tahadhari yoyote.
View attachment 1518743
View attachment 1518745View attachment 1518747View attachment 1518748

Huyu nae alikuja akiwa amevaa barakoa ila alipofika JNIA akaivua
Inamaana ameivua kwasababu anajua amefika sehemu salama.
View attachment 1518752

View attachment 1518756
View attachment 1518758

Kwa hali hii tukiwaita wanafiki wala hatutakuwa tumekosea.
Unafiki mkubwa saaana. Wakati nchi jirani zimeteremsha bendera kuomboleza kifo cha Rais Mstaafu, wao leo wamepandisha bendera zao.
 
Nafikiri ni mtizamo wako,mimi naona kama kwa kusema "msiba si wa Magufuli pekee yake" ni ishara ya kuwa anamuonea huruma Raisi kwa msiba huu.

Jambo la pili hawezi kumtaja mtu mwingine kama Membe au lipumba kwa sababu hawa sio Marais na lugha za ukakasi zinatumiwa na wanasiasa wa pande zote. (rejea kauli ya malofa,rejea kauli za kuwadhalilisha wanawake).
 
Habari wadau

Mh tundulisu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikal ya Tanzania na sijui Kwanini hajirekebish

Leo wakat amewasil Katika ofis za chama wakat anaongea na waandish wa habari kasema kua namnukuu

Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao Alie kuepo madarakan kwa Miaka kumi na kusema kua kesho ataenda kutoa pole kwani Msiba sio wa Magufuli Peke yake

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha Waz kabisa kua yeye Binafs Marehem hakumtambua Kama Rais wa TANZANIA Ila Rais wa CCM

Pili Tundulisu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli Tena kwa lugha zenye ukakas na zenye kuonyesha chuki Ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundulisu kua Huu Msiba Sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehem Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiw kwenda hata kumuona Sababu Ile itakua shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu
Msitetemeke na maneno ya hiyo muhaini wa nchi, MUNGU anamuona na atamhukumu vile vile,chuki zake ni uchu wa madaraka na kwa sasa atasema lolote ilmradi wazungu washenzi wamsikie na kumsifia
 
Wanasiasa wanajuana kwa vilemba...kalaghabaho!

Wanadai ndani ya Si Hasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu.
 
Back
Top Bottom