Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020
Adjustments.jpg

Respect kubwa leo
 
Huyu hasikubabaishe,anatafuta kiki kwa lazima kwa ushauri wangu kwa rais hasishughulike nae hata kidogo mpaka siku ya kesi yake itakapotajwa ili awajibike kwa kutoroka baada ya kudhaminiwa sheria inataka agende jela miezi mitatu.
 
Tanzania hakuna corona au hukuisikia seriali wewe ! Au umesikia kuna mgonjwa yoyote wa corona?
Adjustments.jpg
 
Tangu Janga la Corona lianze Wapinzani wote Tanzania wakiongozwa na CHADEMA walikuwa wakibeza na kupinga kila hatua iliyokuwa ikichukuliwa na serikali kwenye kupambana na Corona. Mh Mbowe yeye alienda mbali zaidi akadai Kuna mamia ya watu wanakufa na kuzikwa usiku huku hospital kama Amana na Mloganzila zikiwa zimefurika wagonjwa.
Hawakukubaliana na Chochote kwenye Mapambano dhidi ya Corona badala yake walikuwa wakisifia mataifa jirani huku wakidai serikali ya Tanzania imeamua kuua watu wake makusudi kwa Corona hadi ikafikia hatua wakasusia bunge.

Sasa leo ni ajabu watu hawa wanao amini kuwa kuna mamia ya watu wanakufa kwa Corona Tanzania wanafanya mikusanyiko tena bila tahadhari yoyote.
View attachment 1518743
View attachment 1518745View attachment 1518747View attachment 1518748

Huyu nae alikuja akiwa amevaa barakoa ila alipofika JNIA akaivua
Inamaana ameivua kwasababu anajua amefika sehemu salama.
View attachment 1518752

View attachment 1518756
View attachment 1518758

Kwa hali hii tukiwaita wanafiki wala hatutakuwa tumekosea.


Unachekesha sana LOCK DOWN inategemea na rekodi za upimaji! sasa Watanzania wanapata wapi rekodi za upimaji!
 
Tangu Janga la Corona lianze Wapinzani wote Tanzania wakiongozwa na CHADEMA walikuwa wakibeza na kupinga kila hatua iliyokuwa ikichukuliwa na serikali kwenye kupambana na Corona. Mh Mbowe yeye alienda mbali zaidi akadai Kuna mamia ya watu wanakufa na kuzikwa usiku huku hospital kama Amana na Mloganzila zikiwa zimefurika wagonjwa.
Hawakukubaliana na Chochote kwenye Mapambano dhidi ya Corona badala yake walikuwa wakisifia mataifa jirani huku wakidai serikali ya Tanzania imeamua kuua watu wake makusudi kwa Corona hadi ikafikia hatua wakasusia bunge.

Sasa leo ni ajabu watu hawa wanao amini kuwa kuna mamia ya watu wanakufa kwa Corona Tanzania wanafanya mikusanyiko tena bila tahadhari yoyote.
View attachment 1518743
View attachment 1518745View attachment 1518747View attachment 1518748

Huyu nae alikuja akiwa amevaa barakoa ila alipofika JNIA akaivua
Inamaana ameivua kwasababu anajua amefika sehemu salama.
View attachment 1518752

View attachment 1518756
View attachment 1518758

Kwa hali hii tukiwaita wanafiki wala hatutakuwa tumekosea.
siasa za kale hizi. fanya siasa kisasa.
 
Najua ndio kwanza ukurasa umefunguliwa, mengi yatafuata na hatujui yatakuwa na sura gani ila Mungu muweza aliyeweza kumlinda aendelee kumlinda nasi tuishi kwa amani. Sijajua hawa jamaa leo walitulia kwa sababu ya msiba au walidhamiria kweli kuleta utulivu na amani. Tuendelee kudumisha demokrasia na kuacha siasa chafu na zenye chuki.
 
Msitetemeke na maneno ya hiyo muhaini wa nchi, MUNGU anamuona na atamhukumu vile vile,chuki zake ni uchu wa madaraka na kwa sasa atasema lolote ilmradi wazungu washenzi wamsikie na kumsifia
Duuuh! mhaini hajakamatwa?
Kweli nchi imebadilika
 
Habari wadau

Mh tundulisu kila siku anazidi kujiweka mbali na Serikal ya Tanzania na sijui Kwanini hajirekebish

Leo wakat amewasil Katika ofis za chama wakat anaongea na waandish wa habari kasema kua namnukuu

Nawapo Pole CCM kwa kuondokewa na Rais wao Alie kuepo madarakan kwa Miaka kumi na kusema kua kesho ataenda kutoa pole kwani Msiba sio wa Magufuli Peke yake

Ukiangalia maneno yake hii inaonesha Waz kabisa kua yeye Binafs Marehem hakumtambua Kama Rais wa TANZANIA Ila Rais wa CCM

Pili Tundulisu hawezi kufanya mkutano bila kumtaja Rais John Pombe Magufuli Tena kwa lugha zenye ukakas na zenye kuonyesha chuki Ndani yake

Ningependa kumkumbusha Tundulisu kua Huu Msiba Sio wa CCM ni Msiba wa Taifa na Kama hamtambui Marehem Kama Rais wa TANZANIA Basi hatakiw kwenda hata kumuona Sababu Ile itakua shughuli ya CCM na yeye ni Chadema Haimuhusu
Daahhhh WEWE JAMAAA UMEOA ? NI BABA WA FAMILIA???


Tundu kasema anawapa pole wanaccm kwa kuondokewa na mwenyekiti wao wa miaka kumi wazaman, anawapa pole watanzania kwa kuondokewa na Rais ....


Hiii yako umeipata wapi???
 
Nilikuwa namalizia kushughulika na zwazwa mmoja anajiita z-complex akidhani JF ni army barracks. Nadhani atakuwa kanielewa.

Mkuu kukosekana kwa taarifa sahihi ni tatizo kubwa kuliko yeyote anavyoweza kufikiria.

Watu tuko confused tufanye nini tuache nini.

Tumetekelezewa janga na hivyo sote "maji ga nyanja" maneno wa mwalimu. Tunaendelea kuwa wahanga watarajiwa. Na uzi huu kuendelea kutuhusu:

Kutoka kwa wahanga watarajiwa wa Covid-19
Nani aliyemtelekeza mwenzie?
 
Wakuu habari za Leo,natumaini mu wazima wa afya tele.

Naomba tulejee kwenye mada husika, Leo ilikuwa ni siku murua ya kumpokea ndugu T.Lissu ambapo wafuasi wa chadema na mabeberu walitegemea kuwa watu wengi wangejitokeza kumpokea Mwamba Lissu .

Chakusikitisha na kushangaza ni kwamba watu walofika katika mapokezi hayo ambayo yamelipotiwa na vyombo vya ndani pamoja na vya mabeberu kuwa hawakuweza kufika hata elfu moja kama ambavyo wengi walitegemea

Hii ni salamu tosha kwa wasaliti wote,na kama lissu anamtazamo wa kuupata urais wa Jamhuli ya watu wa Tanzania nadhani Leo amejionea na kutambua kuwa watanzania hawana muda naye.
IMG-20200727-WA0001.jpg
IMG-20200727-WA0002.jpg
 
Back
Top Bottom