Vijana mnaotaka kuingia kwenye ndoa kuweni makini sana

Kunywa glass moja ya maji ya uvuguvugu mkuu ushushe hasira...
 
Hatuna cha kufanywa, sisi hatuolewi tunaoa, sisi hatuendi kua chini ya mtu tunaenda kua juu ya watu (familia)..
Kwa uchache ivi sijui nmeeleweka mkuu!?
Huna msingi hujui kuwa juu ya mtu unatakiwa ubehave vipi, majukumu yako, maamuzi yako ambae ndo mtu tegemewa yaweje....hayo yote hukuyaona kwa mfano wa baba ako.

Mwisho unakua tu juu kama mjusi bro.
 
Mi naona ungewaambia tu wasioe mazima. Kuoa kuna faida gani kama kila kukicha mateso tu.

Hata mwenye baba atachepuka, atakustress. Vya nini kujifia
 
Mimi nafikiri kuwa mwanaume ukiwa na pesa hauwezi kudharauliwa na hivo viumbe.

So suluhisho ni moja tu.
Acha kabisa na pesa zako bado ata tomb*a hovyo, tatizo lao hawana utii na mambo mengi atakufanyia maigizo!
 
Sasa mkuu tuseme binti kalelewa na bibi and yake Baada ya wazazi kufariki na unakuta bibi alikuwa na miaka 45 labda hapo vipi?
 
Anachokisema jamaa ni kwel.
Kwasasa wanawake ni wajeuri mnooo na mbaya zaid wanazalisha watoto wajeuri mnoo maana kwa single mazas kuhusu malezi bora sahau.
So matatizo yanaongeza matatizo zaidi
Kuna reports inasema kwamba Zaid ya 75% ya wafungwa wote weusi walioko magerezani huko Marekani wamelelewa n single mothers...!!

Hii tu peke inatuonesha mtoto yoyote anayelelewa na single mother ana nafasi kubwa ya kuwa mtu wa ajabu ajabu tu... Kama ni mwanaume basi upo uwezekano wa kuwa muharifu na kama ni mwanamke basi kahaba na asiyekuwa na staha wala kutambua umuhimu wa mwanaume maishani mwake.
 
Golden comment
 
Umefanya uamuzi sahihi ambao binafsi sikubaliani nao...

Huyo haukutakiwa kumpiga chini, huyo ilipaswa umeweke kwenye list ya spermbins wako, yaani awe mwanamke wa kupunguzia uzito tu baasi pale unapokuwa na nyege Tena hamuwekei wivu kabisa
 
Sasa mkuu tuseme binti kalelewa na bibi and yake Baada ya wazazi kufariki na unakuta bibi alikuwa na miaka 45 labda hapo vipi?
Single mother hawana malezi mazuri kwa watoto,
Single mother wengi wao wanawaza kudanga na starehe na ulevi usiyo na maana wakituzuga na ulokole feki, Tena waajiriwa wanaongoza!
 
Yaani ni shida tunaandaa taifa la ajabu sana huko mbeleni, unakuta mtoto wa kiume anakata mauno yupo na beki tatu huku mama yupo buys kutafuta hela anayetafutiwa hela unakuta kaandaliwa kuwa kashoga ka kesho au vichangu vilivyochangamka!
 
Na hawa mnaozaa na kutelekeza nyie akina Kataa Ndoa lakink huku mkizaa zaa hovyo wataishia wapi? Ni mata of taimu tu mtajionea majanga kabla hamjafa mtajuta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…