Wanaharakati wa haki za binadamu na ukimya wa matusi dhidi ya viongozi

Yule ana usajili wa USA baby!!! Kumtoa kule sio kienyeji kama ambavyo unaweza piga simu hakimu Kisutu ili aliekushtaki ageuziwe kibao ๐Ÿ˜‚na kufungwa yeye.
 
Haina uwezo wa kufanya lolote, nenda Marekani mvizie Mange shoot lakini hutotoka Marekani I promise you.
Hahahahaha wanahisi uhuni wanaoufanya huku umatumbini wa risasi ilipaa hewani ikamdondokea marehemu na kesi inaishia hivyo itawezekana kwa watu wenye akili na intelijensia. Kwanza Mange yuko kwenye hotspot muda wote anafuatiliwa na security za USA.
 
Aiweke wakati yeye anatafuta mkwanja, hapo anatikisa asainiwe cheque ya dollar 500,000 atulie tuli.๐Ÿ˜‚
Yani Tanzania nchi ya kipumbavu Sana, imagine mpaka changudowa anaweza kumblack mail Rais.

Haya ndio madhara ya kulea makundi ya machawa, tunaweza kila siku hawaelewi.

Ni fact kuna watu wananufaika na public fund, sasa mrija ukikatwa mziki wake mnaingizwa mkenge msiojuwa lolote kumbe watu Wana vita yao ya maslahi.

CCM ni majitu ya hovyo sana, huu upumbavu wote ni faida za kulea machawa mpaka mengine yanajiita machawa ya mama mijitu mikubwa mizima hata haya hawana kujiita machawa.

Mama Samia sikilizia ushauri huu wenye hekima, ukitaka kusimama kama command in chief na uheshimike na mtu yeyote asikuletee nyenyenyenye Vunja makundi yote ya machawa na piga marufuku neno machawa kama ulivyokemea neno "Kwiyo".
 
Kwa watu Kama nyie ilitakiwa huyu mama aturudishe kwenye zile moments za kimagufuli yaani tuifeel Ile pinch
Watanzania ukitaka kuwaweza display all presidential Powers akiendelea kucheka ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ watamiharibia
Alifanya hivyo ataishia alipo ishia Magufuli
 
Yule ana usajili wa USA baby!!! Kumtoa kule sio kienyeji kama ambavyo unaweza piga simu hakimu Kisutu ili aliekushtaki ageuziwe kibao ๐Ÿ˜‚na kufungwa yeye.
Ni akili kiasi inahitajika then binti atajikuta Airport Dar hapo. Maneuver kiasi tuu wala sio sana.
 
Matusi au Kashfa ni mbaya kwa kila Binadamu sio kwa Viongozi pekee. !!
Usimfanyie binadamu mwenzio kile usichopenda wewe au unaowapenda kufanyiwa !!
Kinyago walichokichonga wenyewe sasa kinawatisha !!

Law of the Universe # What goes around comes around !!
 
Hayo ndio madhara ya mama kukumbatia machawa, dakika mbili machawa hao hao wanaweza kusimama kinyume na mama.
Kimambi alikuwa ni chawa wa mama leo ndio huyo anamvua nguo mama.
We wanachojali ni matumbo yao kukugeuka ni dakika sifuri
 
Raha isiyoelezeka kama ya kufikishwa kileleni,mara ya mwisho we ilikuwa lini?we hujawahi maana una makasiriko

Kwetu raha
You must be a lady, hizi ni tabia hasa za wanawake. Kama ni Me basi tuna hasara.
 
Wanaharakati wapi unawazungumzia na kuwatambua leo? Si walishanunuliwa na mabeberu?
Mwambie musiba aje awatete viongozi hayawani.
 
Chawa wamepigwa Rungu spray wote chalii๐Ÿ˜
Yani wamekimbia kupost picha tu hakika wamepanic mno mno

Naona ambae hajapost mkeka hautamuhusu hahahahhh

Ila nchi imejaa wanafiki hii huku wananchi wakiwa na shida nyingi kila kona tabu watu wako bize eti mtu kadhalilishwa sijui kwa tusi gani jipya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ