Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waache wawafanye chochote,polisi si wanawaonea?
Si kweli, kwa mujibu wa katiba ya Tanzania ya 1977 iliyofanyiwa marekebisho 2006 usalama wa barabarani ni wajibu wa kila Mtu isipokuwa mamlaka ya kusimamia sheria wamepewa POLISI.Usalama wa taifa ni ulinzi wa kila kitu!
Basi unapokutana na kipondo usije hapa kulialia!Si kweli, kwa mujibu wa katiba ya Tanzania ya 1977 iliyofanyiwa marekebisho 2006 usalama wa barabarani ni wajibu wa kila Mtu isipokuwa mamlaka ya kusimamia sheria wamepewa POLISI.
Usalama wa taifa ni ulinzi wa kila kitu!
Ni aibu tu, alafu uuyo dogo nae asingesimama angesepa zake tu
Au angeliacha hilo gari hapohapo lilipo kisha akasubiri Trafiki wajeNi aibu tu, alafu uuyo dogo nae asingesimama angesepa zake tu