MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Kuna umuhimu wa kuwa na Camera kwenye magari, maana wapumbavu ni wengi halafu wana madaraka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unashindwa kujitetea mwenyewe, tukio linapotokea unategemea katiba Mpya?Katiba Mpya mbona mtanyooka tu
Unashindwa kujitetea mwenyewe,tukio linapotokea,unategemea katiba Mpya?_
Rudi shule kajifunze ustaarabu.Usalama wa taifa ni ulinzi wa kila kitu!
Kuna umuhimu wa kuwa na Camera kwenye magari, maana wapumbavu ni wengi halafu wana madaraka
Angesepa tu moja kwa moja kituoni, hapo itakua kuna kitu walimfanya maana ni kama walianza kumpiga.Au angeliacha hilo gari hapohapo lilipo kisha akasubiri Trafiki waje
Kwa wakati huu ambapo hakuna katiba mpya, jamaa alishindwa nini kuendelea na safari, anasimamishwa naye anasimama, hao ni trafiki au aliogopa magwanda?Hata tunapovamiwa na majambazi si nadra kushindwa kujitetea wenyewe.
Na katiba mpya tutawakataa wahuni wote.
Ukimuoma mtu wa idara anajitambulisha au kutambulishwa pasipo sababu juwa hapo ipo shida. Na inatakiwa hatua kali ikiwemo kuondolewa ktk idara. EndHii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.
Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?
Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.
Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.
Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.
Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.
View attachment 2182358
Huyu jamaa inaonekana yuko connected... maana angekuwa mwepesi kwa hapo alipopelekwa, hata simu asingepata na hii video tusingeona.Angesepa tu moja kwa moja kituoni, hapo itakua Kuna kitu walimfanya maana ni Kama walianza kumpiga
Alikubalije kupeleka gari ndani?
Mjomba ake mbunge atamtoa tu.....
Alikubalije kupeleka gari ndani?
Mjomba ake mbunge atamtoa tu.....
Mjombangu mbunge atakuja kunitoa🤣🤣