Mzalendo39
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 881
- 1,033
Hawa ni vijana wa TISS kutoka JKT tatizo hawajui sheria na misingi ya kazi sambamba na elimu zao ndogo.Usalama wa taifa ni ulinzi wa kila kitu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ni vijana wa TISS kutoka JKT tatizo hawajui sheria na misingi ya kazi sambamba na elimu zao ndogo.Usalama wa taifa ni ulinzi wa kila kitu!
Sheria gani hiyo?Kwani huyo dereva hajui kupiga picha au video majengo ya serikali ni kosa?
Mjombangu mbunge atakuja kunitoa🤣🤣
Jamaa ni mjinga,anakua kama watu wa zamani ambao walikua na hofu na hao wa kwenda Congo na visiwa vya Comoro.
Hawa inabidi kuwaaibisha wanaitaka simu ya nini, wanatumia ubabe halafu wanajistukiaUnyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Hii sio sahihi kabisa.
Baadae nini kimetokea?Unyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Najua hawapendi nzi.....Combats tokea upande wa pili na bunduki hakuwa na namna.
Makosa aliyofanya ni pamoja na kuendelea kuifuata kwa nyuma gari ile. Kusubiri nyuma hata iliposimama. Yote akiamini hana makosa.
Mbwa kama hawa inabidi kuwaaibisha wanaitaka simu ya nini, wanatumia ubabe halafu wanajistukia
Sijui kama ni sheria au protokali tuu. Ila ukipiga picha au video majengo ya serikali bila kupewa rukhsa unaweza kupata matatizo.Sheria gani hiyo?
Mwaga mboga,naye wamle kichwa huko Tiss.Karimu mwange toka aajiriwe hapo anajitanua sana sasa tutamuexpose
Ongezea nini kiliendelea na jamaa aliishia wapiWanajua ushahidi wa kweli utawaumbua.
Wanalinda usalama wa nani watu wa namna hii?
Hawa hawatufai asilani.
Ni muhimu hatima ya kadhia hii ikawekwa wazi.
Mwaga mboga,naye wamle kichwa huko Tiss.