Memento
JF-Expert Member
- Jun 13, 2021
- 4,423
- 9,986
Hapo ni usalama wa taifaNi upumbavu wanafanya hao kichwa maji wanaojiita wanajeshi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni usalama wa taifaNi upumbavu wanafanya hao kichwa maji wanaojiita wanajeshi.
Wapuuzi saaanaaaUnyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Hata kama kuna evidence kuwa picha uliyopiga ina element za jinai?Sijui kama ni sheria au protokali tuu. Ila ukipiga picha au video majengo ya serikali bila kupewa rukhsa unaweza kupata matatizo.
Mafuta yanapanda bei nao wapo mbn hawafuatiliiUsalama wa taifa ni ulinzi wa kila kitu!
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.
Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?
Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.
Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.
Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.
Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.
View attachment 2182358
Wapuuzi saaanaaa
Unyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Innocent kama alivyokuwa dogo hakupatambuaKnyama yard
Kila siku nasema njoo mwananyamala pale Royal wanaeka vitambulisho mezani au wakilewa pale Serengeti baa na kuna ingine mpya tunawaokotea na kukabidhi kaunta. Maadili hayapo kabisaUkimuoma mtu wa idara anajitambulisha au kutambulishwa pasipo sababu juwa hapo ipo shida. Na inatakiwa atuwa kali ikiwemo kuondolewa ktk idara. End
Ingia Lugalo pale au kwenye kambi yeyote ya Jeshi alafu anza kuchukua video! Then uje utuambie humu kuwa ni kosa au sio kosaKwani kupiga picha au video kwenye majengo ya serikali siyo kosa?
Kile kilinge chao cha ulajiKama hivi ni halali, nani yuko salama?
Wamefanya kosa gani hao Askari? Unajua chanzo cha hilo tukio lilikuwa nini? Au umesikiliza clip upande mmoja tu unakuja kuropoka humu?
Huyu jamaa nae boya tu. Unasimama je kizembe hivyo?.Unyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.
View attachment 2182373
Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?
Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
Ingia Lugalo pale au kwenye kambi yeyote ya Jeshi alafu anza kuchukua video! Then uje utuambie humu kuwa ni kosa au sio kosa
Mshikaji aliyekuwa naye kwenye gari sio kabisa
Badala ya kustick na homeboy yeye anamsinitch
Uwe umeingizwa au umeingia mwenyewe!Kwani huyu kaingia wapi mwenyewe? Tofautisha kuingizwa na kuingia.