Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Sijui kama ni sheria au protokali tuu. Ila ukipiga picha au video majengo ya serikali bila kupewa rukhsa unaweza kupata matatizo.
Hata kama kuna evidence kuwa picha uliyopiga ina element za jinai?
Ndo sababu katiba mpya ni muhimu sana kuna vitu vikewekwa ili ukihoji ujikute upo matatizoni , just kwa ajili ya nterst za viongozi.
Kuna mbunge aliwahi kuhoji inakuwaje mikataba mingi mibovu ya serikali ilikuwa na muhuri wa 'confidential'
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358

571C5267-ECC7-41B6-BF68-3B93DF76EBD1.jpeg
 
Wamefanya kosa gani hao Askari? Unajua chanzo cha hilo tukio lilikuwa nini? Au umesikiliza clip upande mmoja tu unakuja kuropoka humu?
Unyanyasaji huu wa vyombo vya dola haukubaliki.

View attachment 2182373

Kwanini sheria za nchi zilizopo hazifuatwi?

Kwa hakika tuungane kuukataa ubazazi wa namna hii.
 
Ukimuoma mtu wa idara anajitambulisha au kutambulishwa pasipo sababu juwa hapo ipo shida. Na inatakiwa atuwa kali ikiwemo kuondolewa ktk idara. End
Kila siku nasema njoo mwananyamala pale Royal wanaeka vitambulisho mezani au wakilewa pale Serengeti baa na kuna ingine mpya tunawaokotea na kukabidhi kaunta. Maadili hayapo kabisa
 
Halafu utasikia eti hao waacheni huwa hawasemwi

Dunia nzima wanawajibishwa tena na wanatangazwa kabisa
Nigeria walivyoiba hela za bajeti na kuchapwa na waasi waliaema
Halafu mtu anasema katiba kwani kwenye sheria za Jeshi zimeandikwa kuonea mtu?

Waandishi wa Habari waoga hawana uhuru hata kumuiliza mkubwa swali moja tu je kupiga rukhsa?
 
Back
Top Bottom