Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Hamjambo knyama pale?

Dogo angekuwa na makosa au hata kibri angekuwa kajaribu kutoroka kwa kumwaga mbio.

Kuna michepuko mingapi aliyovuka hadi getini kwenu ambayo angeweza kuchukua?

Hata gari la wajuba liliposimama si kuwa alikuwa blocked.

Alisimama na kujaribu kujieleza bila kebehi.

Kumbuka "Mwanangu" ndiyo lugha za staha kwa madogo wanaume wa Dar wa kesho.
Anajua ana ndugu yake mbunge , ndo mana akaleta kiburi na kusimama
 
Kuna fala mmoja huwa anajifanya au sijui ndio security wa Taifa kweli!!!? Nilikuwa nasikia sana tabia zake za kuwa akikutaa bar unakunywa na yeye anaagiza kama uvyokunywa wewe kisha anasema utalipa wewe,.
Bahati nzuri mimi sinywi ila nikasema hasirogwe kuingia katika anga zangu za aina yoyote hile.
Siku moja nikaenda bar na rafiki yangu mmoja alikuwa ananywa zake bia mimi nikiwa nakunywa sparletar yangu mara jamaa kaja na kama kawaida yake siku hiyo akafikia kwenye point yetu. Akatusalimia akaenda counter kaagiza na yeye bia zake kama za jamaa yangu na kumwambia counter kuwa watalipa wale pale akituonesha sisi.
Baada ya sisi kumaliza yetu tukaomba bill ilipoletwa tukaona bill imekuja mara dufu, nilipooliza tukajibiwa kuwa na pombe zile pale. Mimi nikamwambia sisi hatumfahamu alipe mwenyewe, baada ya hapo jamaa si akaja akatuuliza kwa nini hatutaki kunilipia?
Nikamuuliza tukulipie wewe una tatizo gani? Nae akatuuliza kwani nyinyi hamnifahamu, na Mimi nikamuuliza "sisi unatufahamu?" Nikamwambia ondoka kabla sijakushia dhahama, wakati huo watu wametunguka wakisilizia. Naona kaondoka uku akisema "mtanijua tu"
Juzi nimekutanae barabarani nashangaa kanisalimia bro za ziku?
Nikajifanya sikumsikia.
Hakukua na haja ya kubishana nae Wala kuongea nae, unalipa bill yako unasepa. Ila hiyo kuanza kuongea nae na kubishana nae ndio mnamvimbisha kichwa
 
Combats tokea upande wa pili na bunduki hakuwa na namna.

Makosa aliyofanya ni pamoja na kuendelea kuifuata kwa nyuma gari ile. Kusubiri nyuma hata iliposimama. Yote akiamini hana makosa.

Hilo ni kosa kufuata nyuma hilo gari. Wakati mmoja kunajamaa alifuata msafara kwa kupimana nao mbio. Ulikuwa wa Kagame akitokea airport. ghafla akastukia IST imetokea from no where iko ubavuni mwake inajaribu kumzonga atoke nje ya barabara. Akaamua kuingia barabara ya vingunguti kwenda kuzunga kule mahakama ya mbusi.
 
Kaka ninakupongeza kwa kuwa SMART na kurekodi. . .ijapokuwa sijapenda uliposema una mjomba wako MBUNGE. Kingune hilo jamaa na askari wenye uniform ni WAJINGA KWELI. Binafsi sio askari na sina mafunzo ya uaskari.....lakini kwa akili ya kawaida walijiweka ktk RISK .....maana jamaa wangekuwa na convoy ya waarifu wangeingia kiurahusi sana na kuleta madhara makubwa humo ndani
Humo sio jeshini, humo ni usalama wa Taifa na hapo ni parking zao za nje
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Leo naitamani ban..... usalama wa taifa wa CCM nyie mazuzu magic msio na akili nimewatukana matusi yote duniani.

Niambieni kwa kesi hii, where is your intelligence?
 
Huyo afisa ni kilaza kulikuwa kuna umuhimu gani? Wa kumpeleka hapo basement kwanini wasingeongea barabarani wakayamaliza. Tena hao vilaza wenzake wanaolinda geti wanakuja na maneno ya kejeli eti chuchuma, take it from me lazma waandike maelezo kwa hili?
Acha ujuha wewe! Kuna basement gani hapo?
 
Basi unapokutana na kipondo usije hapa kulialia!
Rudi shule kasome vizuri uelewe tena ikibidi mpaka Kipara kikuote kichwani.

Sheria iko wazi kabisa kuwa muhimili mmoja haupaswi kuingilia muhimili mwingine kikazi.

Ndiyomaana unaona Ofisa TRA hawezi kufanya kazi ya Ofisa TBS, na Ofisa TPA hawezi kufanya kazi ya Ofisa TAA.
 
Sheria inaruhusu mtu yeyote kufanya arresting!

Hata wewe unaweza kumu arrest muhalifu akifanya kosa

Kum arrest unampeleka nyumbani au ofisini kwako?

Vituo vya polisi vipo vingapi au traffic police barabarani hawapo?

Acheni uonevu hata kwa madogo kama huyo.

Kwenu hamna madogo nyie? Au haukuwahi kuwa wadogo?

Madogo ni wa kuelekeza si kuonea. Khaaaaaa!

Disgusting.
 
Kum arrest unampeleka nyumbani au ofisini kwako?

Vituo vya polisi vipo vingapi au traffic police barabarani hawapo?

Acheni uonevu hata kwa madogo kama huyo.

Kwenu hamna madogo nyie? Au haukuwahi kuwa wadogo?

Madogo ni wa kuelekeza si kuonea. Khaaaaaa!

Disgusting.
Vijijini mtu anakamatwa na kupelekwa kwa mjumbe au Mwenyekiti wa serikali ya mtaa! Hujui hilo?

Kukamatwa sheria inaruhusu mtu yeyote kufanya arresting

Unajuaje kama aliingizwa pale ili polisi wataarifiwe waende kumchukua?
 
Back
Top Bottom