Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Na bado video imetufikia walimwengu huku mitandaoni. Sasa sijui wanalinda nini hawa viazi?

Pale whitehouse, kuna hadi museum watu wanaingia kutalii. Hawa viazi wenyewe bado wanakomalia raia wasipige picha eti "maeneo nyeti", nyeti my foot. Kuna eneo nyeti hapo makumbusho kushinda white house? Kuna maeneo nyeti kushinda ofisi za CIA pale Langley?

Hawa vijana wa UVCCM wanachoweza ni kukimbizana tu na wananchi ambao hawana madhara wala hatia. Maana wamejazana hapo sababu ya kadi zao za chama, Ila uweledi ni sifuri!
Hakuna eneo nyeti TZ hii kama nyumbani kwa mzee mwambapa pale makabe kwa lipelanya
 
Dogo kapigwa biti tena na dereva nae kaingia king. Pumbavu kweli kweli
 
Kitendo cha kukubali kusimamishwa tu tena na usalama dereva ni cha kiboya kuliko uboya wenyewe
 
Hayo ni maisha ya zama za mawe za kale, watu wanapiga picha nje ya white house, hapo kwenu kuna kitu gani kipya kisichojulikana duniani?

Well, amepiga picha/video, mwanausalama mwenye maadili angechukua hiyo simu na kudelete video husika na kumuonya asirudie hilo kosa, Tafrani yote hiyo iliyotokea ni ya nini? Maguvu mengi utadhani mnakamata gaidi. Wakati Hamza amekuja na mabunduki mbona hamkujitokeza.

Halafu wewe tunakudai yuko wapi Ben Saanane?
Old Stone age!
 
Kutokujua kwako maana ya neno "jeshi" should that be our problem?

Pole lakini. Neno "jeshi" ni kiswahili. Google au tafuta kamusi.
Hili ndio tatizo lako lingine, unahisi Google imeshushwa na Mungu?
Very simple, Kuna soldier, police (man) officer, militias, immigration officer etc, maneno mengi ya Google yameingizwa na vizazi vipya kama nyie, mfano wa haya nimeyaona hata kwenye utunzi wa vitabu vya hasa shule ya msingi vilivyotungwa na kampuni ya yule jamaa wa kanda ya ziwa.
 
Bora warudishe JKT na mgambo ndio Watanzania wataelewa maana ya Jeshi, wengi wanadharau mgambo Polisi,TISS, Magereza, wakati ndio kikosi cha Askari wa miguu (infantryman)
Utachekwa, ila siseme yaliomo, hao wote mara kumi ya hao Mgambo wana sifa na elements za kijeshi.
 
Tukimaliza yote jmn,kijana anaendeleaje huko mloganzila?
Muhimu kujua maendeleo ya afya ya kijana.
 
Kwa wakati huu ambapo hakuna katiba mpya, jamaa alishindwa nini kuendelea na safari, anasimamishwa naye anasimama, hao ni trafiki au aliogopa magwanda?

Nyie wananchi punguzeni kuwa-overate hao jamaa ambao ni iron boys and girls.
That was not right

Tusitetee matendo ya abuse namna hii

Ule ji unyanysaji… jamaa walichukua sheria mkononi
 
Kazi ya ulinzi na usalama ni ya kila RAIA lakini unapozungumzia idara ya tiss kazi yao sio kama alivyofanya huyo mtu binafsi.

Labda ulishindwa kujua je ni mtu binafsi alitenda jambo au idara.

Naamini kwa kuwa ulisha jua ni mtu wa kitengo mawazo yako yakakupeleka kwingine na kutoa generalization ya idara.


Siku hizi kuna kaupumbavu ka wananchi wakishajua mtu Fulani ni wa kitengo ,akifanya jambo mtaani wanahusisha na kitengo. Acheni ujinga.

Huyu mtu nae anapaswa kuishi kama yeye na kuishi kiidara pia
 
Kuna fala mmoja huwa anajifanya au sijui ndio security wa Taifa kweli!!!? Nilikuwa nasikia sana tabia zake za kuwa akikutaa bar unakunywa na yeye anaagiza kama uvyokunywa wewe kisha anasema utalipa wewe,.
Bahati nzuri mimi sinywi ila nikasema hasirogwe kuingia katika anga zangu za aina yoyote hile.
Siku moja nikaenda bar na rafiki yangu mmoja alikuwa ananywa zake bia mimi nikiwa nakunywa sparletar yangu mara jamaa kaja na kama kawaida yake siku hiyo akafikia kwenye point yetu. Akatusalimia akaenda counter kaagiza na yeye bia zake kama za jamaa yangu na kumwambia counter kuwa watalipa wale pale akituonesha sisi.
Baada ya sisi kumaliza yetu tukaomba bill ilipoletwa tukaona bill imekuja mara dufu, nilipooliza tukajibiwa kuwa na pombe zile pale. Mimi nikamwambia sisi hatumfahamu alipe mwenyewe, baada ya hapo jamaa si akaja akatuuliza kwa nini hatutaki kunilipia?
Nikamuuliza tukulipie wewe una tatizo gani? Nae akatuuliza kwani nyinyi hamnifahamu, na Mimi nikamuuliza "sisi unatufahamu?" Nikamwambia ondoka kabla sijakushia dhahama, wakati huo watu wametunguka wakisilizia. Naona kaondoka uku akisema "mtanijua tu"
Juzi nimekutanae barabarani nashangaa kanisalimia bro za ziku?
Nikajifanya sikumsikia.
Huyo TISS feki. Tunao wajua hawana tabia hizo. Kwanza ni kinyume na taratibu za idara.
 
Back
Top Bottom