Hakuna eneo nyeti TZ hii kama nyumbani kwa mzee mwambapa pale makabe kwa lipelanya
 
Dogo kapigwa biti tena na dereva nae kaingia king. Pumbavu kweli kweli
 
Kitendo cha kukubali kusimamishwa tu tena na usalama dereva ni cha kiboya kuliko uboya wenyewe
 
Old Stone age!
 
Kutokujua kwako maana ya neno "jeshi" should that be our problem?

Pole lakini. Neno "jeshi" ni kiswahili. Google au tafuta kamusi.
Hili ndio tatizo lako lingine, unahisi Google imeshushwa na Mungu?
Very simple, Kuna soldier, police (man) officer, militias, immigration officer etc, maneno mengi ya Google yameingizwa na vizazi vipya kama nyie, mfano wa haya nimeyaona hata kwenye utunzi wa vitabu vya hasa shule ya msingi vilivyotungwa na kampuni ya yule jamaa wa kanda ya ziwa.
 
Bora warudishe JKT na mgambo ndio Watanzania wataelewa maana ya Jeshi, wengi wanadharau mgambo Polisi,TISS, Magereza, wakati ndio kikosi cha Askari wa miguu (infantryman)
Utachekwa, ila siseme yaliomo, hao wote mara kumi ya hao Mgambo wana sifa na elements za kijeshi.
 
Tukimaliza yote jmn,kijana anaendeleaje huko mloganzila?
Muhimu kujua maendeleo ya afya ya kijana.
 
Kwa wakati huu ambapo hakuna katiba mpya, jamaa alishindwa nini kuendelea na safari, anasimamishwa naye anasimama, hao ni trafiki au aliogopa magwanda?

Nyie wananchi punguzeni kuwa-overate hao jamaa ambao ni iron boys and girls.
That was not right

Tusitetee matendo ya abuse namna hii

Ule ji unyanysaji… jamaa walichukua sheria mkononi
 
Kazi ya ulinzi na usalama ni ya kila RAIA lakini unapozungumzia idara ya tiss kazi yao sio kama alivyofanya huyo mtu binafsi.

Labda ulishindwa kujua je ni mtu binafsi alitenda jambo au idara.

Naamini kwa kuwa ulisha jua ni mtu wa kitengo mawazo yako yakakupeleka kwingine na kutoa generalization ya idara.


Siku hizi kuna kaupumbavu ka wananchi wakishajua mtu Fulani ni wa kitengo ,akifanya jambo mtaani wanahusisha na kitengo. Acheni ujinga.

Huyu mtu nae anapaswa kuishi kama yeye na kuishi kiidara pia
 
Huyo TISS feki. Tunao wajua hawana tabia hizo. Kwanza ni kinyume na taratibu za idara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…