Hata tunapovamiwa na majambazi si nadra kushindwa kujitetea wenyewe.

Na katiba mpya tutawakataa wahuni wote.
Kwa wakati huu ambapo hakuna katiba mpya, jamaa alishindwa nini kuendelea na safari, anasimamishwa naye anasimama, hao ni trafiki au aliogopa magwanda?

Nyie wananchi punguzeni kuwa-overate hao jamaa ambao ni iron boys and girls.
 
Ukimuoma mtu wa idara anajitambulisha au kutambulishwa pasipo sababu juwa hapo ipo shida. Na inatakiwa hatua kali ikiwemo kuondolewa ktk idara. End
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…