Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Kwa wakati huu ambapo hakuna katiba mpya, jamaa alishindwa nini kuendelea na safari, anasimamishwa naye anasimama, hao ni trafiki au aliogopa magwanda?

Nyie wananchi punguzeni kuwa-overate hao jamaa ambao ni iron boys and girls.
Hata mimi nashangaa, mtu sio trafiki, kavaa kiraia, anakusimamisha na kukuamrisha eti paki pale, na hajaonuesha kitambulisho kwamba yeye ni askari , sepa zako, breki ya kwanza kituo cha polisi, na ndugu unakua umeshawajulisha wakukute huko
 
Kuna kibao, bango au alama yoyote inayoonyesha hapo ni Usalama wa Taifa?
Hiyo kesi akipewa wakili msomi Mtobesya inaisha saa nne asubuhi siku ya kwanza tu.
Unarekodi maeneo ya Usalama?
Au hakujua kama hapo ni Usalama wa taifa?

Anyway alivyowaona hao wanajeshi kwanini asingezima kamera yake?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mwenzake anamsihi aoembe msamaha tu[emoji1787].
Bogo bado sana kwenye suala la kutambua haki za kiraia.
Hata mimi nashangaa, mtu sio trafiki, kavaa kiraia, anakusimamisha na kukuamrisha eti paki pale, na hajaonuesha kitambulisho kwamba yeye ni askari , sepa zako, breki ya kwanza kituo cha polisi, na ndugu unakua umeshawajulisha wakukute huko
 
Hawana Shughuli za kufanya baada ya mwendazake kuondoka.kazi iliyokuwepo ni kudeal na wapinzani.Samia hataki kusumbuana na wapinzani kwa hiyo utaona hawana kazi yoyote hivyo kukaa idols siku nzima.Ndio wanatafutiza kazi za kujishikiza ili kumshtua mama kuwa nao wapo kazini.
Hivi nahisi ingekuwaje au kingetokea nini kama huyu jamaa angekuwa mjeda yupo full battle in dressing?
 
Kama ni TISS atakuwa ameijiexpose kizembe sana
Halafu utasikia eti hao waacheni huwa hawasemwi

Dunia nzima wanawajibishwa tena na wanatangazwa kabisa
Nigeria walivyoiba hela za bajeti na kuchapwa na waasi waliaema
Halafu mtu anasema katiba kwani kwenye sheria za Jeshi zimeandikwa kuonea mtu?

Waandishi wa Habari waoga hawana uhuru hata kumuiliza mkubwa swali moja tu je kupiga rukhsa?
Kama ni MAN IN BLACK atakuwa ameijiexpose kizembe sana na hii ni dalili za ukosefu wa maadili pamoja na ulimbukeni uliotukuka.
 
Wapi mtu kajitambulisha kuwa ni wa idara?

Sasa katumia muujiza gani mpaka kumfanya dogo akapaki gari pembeni bila ya yeye kujitambulisha kwa alama yoyote ile?
Hapa Tanzania waalimu huwa wanamiliki hizo bunduki wakiwa wamevalia mabakamabaka?
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Hawa hawajuhi kazi yao,hata kama huyo jamaa ana makosa,ilibidi wamtafute kimya kimya,maana wao hizo mbinu wanazo,
 
Kuna pumbavu mwingine alikuja kwenye mgahawa mmoja nilikuwa nimeachiwa pale karibu na Makumbusho. Amemaliza kula akataka kukimbia, mfanyakazi mmoja akamtia pini pale. Akaanza kusema kuna mtu nilikuwa nataka nimcheck hapo pembeni, akaambiwa lipa uende; mara huyo jamaa ndio ana hela ya kulipia. Akataitiwa pale, kidogo kaanza mimi usalama wa taifa... hapo ndio akatuchefua zaidi. Tukamwambie ofisini kwenu sio mbali, twende kwa bosi wako akalipe! Akabaki anatoa macho. Mwisho wake aliacha simu pale, baada ya wiki alikuja kulipa.

Hata kama angekuwa usalama kweli, ujasiri wa kwenda kwa bosi wake na deni la wali nyama alikuwa hana. Shenzi kabisa yule.
Wafanyavyo sio haki, hayo huwa yanafanywa na wanajeshi tena kama wapo kwenye operation maalum, ingawa sio sheria hawa wengine wanawaiga utukutu wa jeshi
 
".....waombe msamaha yaishe"
Mambo km haya hutokea sana barabarani,ni km sheria za barabarani haziyahusu majeshi yetu au baadhi ya watendaji wa majeshi,kadhia hii hupelekea uonevu(kipigo/kusekwa ndani) kwa wananchi wanyonge.
Japo clip imeanzia kati hatuoni mwanzo nani kamkosea mwenzie,na hatujui nini kilifuata baada ya purukushani ya kunyang'anyana simu,ila si busara kwa watendaji hawa ambao tunsamini wanazijua vzur sheria na taratibu kuamua mambo kimtaani mtaani(kujichukulia sheria mkononi)
".....kaka yangu mbunge atakuja kunitoa"
Hii nchi tusio na koneksheni tunanyanyasika,lolote litakalokupa litakua jepesi km una koneksheni[emoji2][emoji2]
 
Kuna pumbavu mwingine alikuja kwenye mgahawa mmoja nilikuwa nimeachiwa pale karibu na Makumbusho. Amemaliza kula akataka kukimbia, mfanyakazi mmoja akamtia pini pale. Akaanza kusema kuna mtu nilikuwa nataka nimcheck hapo pembeni, akaambiwa lipa uende; mara huyo jamaa ndio ana hela ya kulipia. Akataitiwa pale, kidogo kaanza mimi usalama wa taifa... hapo ndio akatuchefua zaidi. Tukamwambie ofisini kwenu sio mbali, twende kwa bosi wako akalipe! Akabaki anatoa macho. Mwisho wake aliacha simu pale, baada ya wiki alikuja kulipa.

Hata kama angekuwa usalama kweli, ujasiri wa kwenda kwa bosi wake na deni la wali nyama alikuwa hana. Shenzi kabisa yule.
Deni la wali nyama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣. Huyo ni maskini wa kutupwa.
 
Back
Top Bottom