Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Wakijimilikisha hata kinyume cha katiba ya sasa utafanya je?
Nenda mahakamani, nikwambie kitu master, Katiba hata ikiwa nzuri kiasi gani haiwezi kuwafanya watu wasio na maadili wawe na maadili.

Kuna watu kama Trump pamoja na kuwa Rais wa nchi yenye Katiba nzuri duniani lakini bado alikuwa anapuyanga puyanga tu.
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Wahuni wale
 
Kwanini hao wanajeshi wasinge mtaarifu kuwa hapa haparuhusiwi kupiga picha?

Wao si ndiyo walio mtakatifu kuingia huko? Kwani yeye alikuwa na biashara huko?

Taratibu zao dogo ambaye hakuwa na ugeni huko angezijulia wapi?

PGO yao inasema je?
Amekosea kuchukua video eneo la usalama
 
Huyo dada mwenye kombati alivyo mpuuzi badala ya kumtajia kosa lake anamwambia chuchumaa.
Unatakiwa kumwambia kama yupo under arrest na kosa alilofanya,na wewe unayemkamata ujitambulishe na uoneshe kitambulisho
Watu wengi ni forgery siku hizi,kuvaa kombati haitoshi.
Halafu huyo dogo naye ni shida pia.Eti nitatoka tu mjomba angu ni mbunge!!!
Dogo mshamba sana awamu hii unaweza ukala shaba tu na ukazikwa bila kelele hata uende ukashtaki vipi. Utaunganishwa kwenye special task flani kesi iishe kimya kimya
 
Back
Top Bottom