Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Unarekodi maeneo ya Usalama?
Au hakujua kama hapo ni Usalama wa taifa?

Anyway alivyowaona hao wanajeshi kwanini asingezima kamera yake?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Hao usalama inakuaje traffic case waipeleke ofisini kwao,polisi awakukuona au kama wasingekua na nia ovu na huyo kwanini wasingechukua namba ya gari na kukabidhi kwa trafiki polisi,hao walitaka kumuonyesha huyo dogo wao ni nani while hamna aliye juu ya sheria,mkishavaa hivyo vigwanda vyenu mnajiona mnaweza kufanya lolote na ndio maana wenzenu wananyea debe mtwara huko kwa ujinga kama huu
 
Hio inakua kesi ingine lakini kesi ya kwanza ni ya matumizi mabaya ya madaraka ya huyo jamaa mwenye panki..tatizo hauzijui haki zako..
Tuna sheria mbovu kidogo ndani ya hii nchi.

Hiyo haki yako hadi uje uipate kwa mazingira hayo ni parefu.

Naona hujamgonga mtu, hajakugonga no need kubishana!! Endelea na mambo yako.

Huyo dogo alijua kabisa nini kitafuata ndio maana akaendelea kurekodi!!

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Hao usalama inakuaje traffic case waipeleke ofisini kwao,polisi awakukuona au kama wasingekua na nia ovu na huyo kwanini wasingechukua namba ya gari na kukabidhi kwa trafiki polisi,hao walitaka kumuonyesha huyo dogo wao ni nani while hamna aliye juu ya sheria,mkishavaa hivyo vigwanda vyenu mnajiona mnaweza kufanya lolote na ndio maana wenzenu wananyea debe mtwara huko kwa ujinga kama huu
[emoji3][emoji3] Naona walikuwa favoured na mazingira tu!!


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwani hujawaona hao watu (wanajeshi) wakiwa barabara kwa miguu huku dogo akiwa kwenye gari? Au kuna video nyingine unayoona na mimi siioni? Mbona kwenye video wanajeshi wengi tu wako barabarani na dogo yuko kwenye gari? Angeamua kugonga wewe unaona isingewekana? Ama unafikiri ukiwa mwanajeshi unakuwa na mwili wa chuma?
Inawezekana hatujaelewana.
Au unazungumza nje ya video?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Tuna sheria mbovu kidogo ndani ya hii nchi.

Hiyo haki yako hadi uje uipate kwa mazingira hayo ni parefu.

Naona hujamgonga mtu, hajakugonga no need kubishana!! Endelea na mambo yako.

Huyo dogo alijua kabisa nini kitafuata ndio maana akaendelea kurekodi!!

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app

Kwenye Katiba Mpya haya ni ya kuzingatia
 
Tusiokuwa na wajomba tuna koment wapi?

Hamjambo knyama pale?

Vipi mmemwagika ndugu kujaribu kulizima sooo?

Hapa, mbona akinusurika mtu akatambike kabisa?

Habari ndiyo hiyo.
 
Mimi namsifu sana huyo jamaa aliyerikodi hilo tukio japo alitakiwa kuishia kurikodi pale alipoaanza kupiga kona kuelekea getini. Bila kurikodi tungeweza kuja kupewa stori yoyote huko mbele ya safari na wakati huo unaweza kuta jamaa ana maplasta na mabandeji mwili mzima, au kavunjwa mahali au hata zaidi ya hayo. Halafu huyo jamaa wa VIETEEE nimeshindwa kumuelewa unaendaje kusimamisha gari yako mbele ya gari nyingine wakati wewe sio trafiki na huna unifomu je kama mtu kabeba mamilioni na akahisi wewe ni jambazi wakati ana silaha si anakuyatua biashara inashia hapo barabarani mpaka watu wajue wewe ni nani si tayari funza washamaliza yao huko ardhini.

Lakini pia naona wote wawili wana matatizo mkamataji na aliyekamtwa kwani kwa madereva wa Dar tena ukizingatia wote wanaume mkichomekeana au kukwaruzana kidogo mnayamaliza hapo barabarani labda itokee mkwaruzano ukiwa mkubwa pia mnalipana pesa kila mtu anaendelea na shughuli zake. Ukiendesha gari Dar halafu ukawa bize na wanakuchomekea aisee utakufa kwa "stress" . Kwanza utakamata au kubishana na wangapi maana unaweza kujikuta siku nzima wewe upo unawakimbiza jamaa halafu unasimamam mbele yao kama huyo jamaa mnaaanza ligi. Halafu lazima ipo tu siku na muda utakapokutana na vichaa wenye "stress" zaidi yako maana ukisimama mbele yake wewe na hilo VEITEE lako na jamaa ana vitz anakubamiza halafu anasepa mtakutana mahakamani sasa hapo hasara kwa nani?

Ruge (RIP) alisema ogopa Mungu na teknolojia ndio hii sasa jamaa inaonekana aliweka "live" kwenye simu yake na huyo mwenzake hakujua amekomaa tu "chukua simu" kumbe wakati huo habari zimeshasambaa dunia nzima ukizingatia sasa hivi dunia ni kama kijiji. Jamani wakati mwingine uungwana ni kitu kizuri kama huyo jamaa wa VIETEEE angepuuzia akaendelea na shughuli zake angepungukiwa nini? La kujifunza hapa ni kuwa kwenye maisha tuhangaike na mambo ya maana na haya madogo madogo tuyapuuze kwani maisha yanaenda mbele hayasimami.
 
[emoji3][emoji3] Naona walikuwa favoured na mazingira tu!!


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Tiss wana mambo mengi ya kufanya sio kudeal na vitu kama hivi,it seem kwa mtindo huu kuna wengi sana wanaofanyiwa ujinga kama huu coz mtu yeye mtu flan basi anajiona anaweza kufanya lolote,hao jamaa wawajibishwe ikiwezekana wahamishiwe jeshi la zima moto huko ili wawe mfano kwa wengine,tiss unadeal kukamata gari while hujui watu wanapitisha vipi magendo airport na vipi watu wanakwepa kodi!wanaidhalilisha tiss kwa ujinga wao
 
Dogo nae alizingua huo mnyama hata na yeye hakujiongeza kidogo ye analeta kidomo domo chake eti kisa msukuma ni mjomba ake[emoji23][emoji23], ngoja akale kazi.
kabisa anajihami baada ya kujua kosa lake
 
Tatizo jamaa wengi wao ni washamba halafu waoga angalia hapo wamejazana kibao na bunduki juu kukabiliana na mtu mmoja ambaye labda hana hata kiwembe.
Tuombe Mungu sana tusivamiwe na adui tukiamini hao jamaa kazi yao kubwa ni kuonea raia tu
Hao walikuwa kwenye msafara wa mnadhimu wa jeshi, huyo dogo nadhani utoto ulimsumbua
 
Back
Top Bottom