Wanajeshi kwa waliohusika na tukio hili wawajibishwe
Kwani Katiba ya sasa inaruhusu hayo mambo yawepo ?

Katiba iliyopo inaruhusu watu wa hovyo kujimilikisha nchi.

Wakisha jimilikisha nchi inakuwa kama ndiyo tumewachagua:

IMG_20220407_100734_383.jpg


Hivyo haya mengine yanafuata mkondo wake kama asemavyo huyo mwanazuoni.
 
Katiba iliyopo inaruhusu watu wa hovyo kujimilikisha nchi.

Wakisha jimilikisha nchi inakuwa kama ndiyo tumewachagua:

View attachment 2182663

Hivyo haya mengine yanafuata mkondo wake kama asemavyo huyo mwanazuoni.
Mwanazuoni kasema tunachagua watu wa hovyo kisha tunalalamika hovyo, so hata katiba mpya ikitoka peponi haiwezi kukupangia mtu wa kumchagua. Kama mgombea ni wa hovyo atabaki kuwa wa hovyo.
 
Mwanazuoni kasema tunachagua watu wa hovyo kisha tunalalamika hovyo, so hata katiba mpya ikitoka peponi haiwezi kukupangia mtu wa kumchagua. Kama mgombea ni wa hovyo atabaki kuwa wa hovyo.

Umeweza kusoma nilichoandika au umemsoma mwanazuoni tu?

IMG_20220410_133802_631.jpg


Rejea bandiko langu lote kwenye hilo tafadhali.
 
Ww ni mpumbavu na ni mtaji mkubwa sana kwa Taifa hili kutufikisha hapa kimaisha kwa uchumi mdogo sana duniani ingawa tuna zaidi ya 80% ya kila rasilimali.

Unamkamataje Mtu bila kibali cha mamlaka husika, au huoni umejichukulia hatua mkononi?

Je huyo Mtu akikufia mikononi mwako utajitetea vipi kuwa ulikuwa unamkamata kisheria bila ya vielelezo vyovyote vya sheria husika ya hayo mamlaka?

Unapoteza muda wako bure!
Labda Kama unajifurahisha tuu kujibishana naye
 
Huyu aliyefungua uzi huu alidhani walikuwa wanajeshi lakini baadaye zilifunguliwa nyuzi nyingi kuhusu hao jamaa na inasemekana walikuwa ni watu wa usalama wa taifa.

Hata mgambo ni wajeshi mjomba au wewe magereza au zimamoto siyo?

Wabongo kwenye ubora wetu wajuzi zaidi nyie.

Kazi kweli kweli.
 
Combats tokea upande wa pili na bunduki hakuwa na namna.

Makosa aliyofanya ni pamoja na kuendelea kuifuata kwa nyuma gari ile. Kusubiri nyuma hata iliposimama. Yote akiamini hana makosa.
Hasira hasara! Jamani tuwe wanyenyekevu hata kama tumedhurumiwa. Dunia imekwisha hii, kila siku ni vifo vya ajabu ajabu kwenye matukio kama haya!
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Hawa jamaa zangu kuna wakati huwa wanafanya mambo kimangimeza sana.

Kuna usalama taifa wako vuzuri, ila wengine wanakuwa malimbukeni na kujifanya wao ndio wenye haki barabarani.

Hii kawaida sana kukuta JWTZ au UT wanapita wrong road side bila king'ora wakiwa speed.
 
Hata mgambo ni wajeshi mjomba au wewe magereza au zimamoto siyo?

Wabongo kwenye ubora wetu wajuzi zaidi nyie.

Kazi kweli kweli.
Ni kweli usemayo lakini imekuwa ni mazoea linapotajwa jeshi basi watu wengi tumekuwa tukimaanisha Jwtz na wewe unafahamu nafikiri sio hoja ya kuanza kubishana.
 
Hii Tabia ya kuonea raia kisa tu ofisa wa usalama wa Taifa kakwaruzana na waendesha magari barabarani inatoka wapi?
Hii inaonyesha kuwa tuna Usalama wa Taifa incompentent, wasiojua kazi zao, ambao wanatumia nafasi zao kuonea watu.

Ni wapi katika majukumu ya usalama wa Taifa, Usalama wa Taifa unafanya kazi za Trafiki barabarani?

Leo hii ofisi na premise za usalama wa Taifa zinaenda kutumika kama parking ya kukamatia raia eti kisa raia kakwaruzana na ofisa mmoja huko barabarani ni ushamba wa hali ya juu na ni kuipaka Idara matope.

Tunataka Idara ya Usalama wa Taifa TISS imchukulie hatua za kinidhamu huyo ofisa anayeonekana kuleta kiburi kwa kutumia kazi yake kuonea watu.

Kibaya zaidi anaamrisha raia anyang'anywe simu yake bila search warrant au bila kufuata sheria za kipolisi, huu kama siyo ujambazi ni nini.

Huu utovu wa nidhamu ukomeshwe mara moja, hatutaki usalama wa Taifa unaoendeshwa kihuni.

View attachment 2182358
Wabishi kama hawa uwaga wanakula njugu tu kisha anaandikiwa kesi tu. Bahati yake ana mjomba mbunge
 
Back
Top Bottom