Wanaume wengi wa dini ya kiislamu ni waaminifu kwa wake zao

Nilikuwa nasubiri kwenye GSM hapa nione wanakisanga gani,.. nashangaa hujasema chcht sa ulikuwa na haja gani yakuwataja wao!??
 
Utuache.....Uzi nzima unatusimanga wewe tu 😏
Wakati tumesifiwa hatukaribii zinaa!
 
Mwanaume akiwa hana hela lazima awe kama malaika, full utulivu na busara za hali ya juu 🤣🤣akiwa nazo ndo utaona tabia zake halisi
 

uba marafiki zako kadhaa…. vip kuhusu ao ambao si marafiki zako au ambao hauwajui nao n waaminifu??
unahitaj karesearch syo kutumia rafik zako ku conclude
 
So mnacheka futuhi aloileta mwenye thread siyo🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…