Wanawake, kama huwezi mtunza mtoto pelekeni kwa Baba zao. Msisumbue watu kwa upuuzi wenu


😂😂😂
Sasa maneno ya hovyo ni vile mtu anavyoyaona. Mfano maneno uliyoyatoa kunihusu Mimi sio kwamba yanaonyesha Mimi nikoje isipokuwa vile unavyoniona. Yaani ishu ya akili yako inavyofanya kazi.
Ukiniita mjinga haimaanishi Mimi ni mjinga Ila vile unavyoniona Kwa akili yako.

Huyo nilikuwa namjibu kulingana na nature.
Nawe umeeeleza vizuri kuwa jukumu la kutunza Familia na kutafuta ni lamwanaume na ndio maana mwanaume ndiye mmiliki wa familia na watoto. Ndicho nilichoeleza.
Yeye kasema Watoto ni wawote Mimi nikamuambia watoto wanakuwa ni wawote kama Wote mnatafuta na kulisha familia Kwa kiwango kinachofanana au kukaribiana.

Lakini kama mmoja ndiye jukumu lake ndio la kutafuta na kulisha familia Basi watoto wanakuwa WA huyo mwenye Hilo jukumu, hiyo ndio nature ilivyo.

Kwa wanyama Sio kila mnyama dume ndiye mtafutaji na kulisha familia, wanyama majike wengi ndio wenye jukumu Hilo hivyo wao ndio wamiliki halali wa watoto hao.
Jaribu hata kufuga kuku au Mbuzi au NG'OMBE au nenda katalii mbugani utaelewa mwenye watoto Kwa wanyama waliowengi ni Jike au dume.

Umiliki unatokana na Huduma na wajibu wa kutunza, na si vinginevyo.
 
Kuna uzi umefunguliwa wa.kudai ada halafu wewe unafungua uzi huu + - =

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu huwezi pingana na nature hata siku moja ipo hivyo na itakuwa hivyo mwanamke ana majukumu yake ya kiasili ambayo hata afanye nini hawezi kuyakwepa ndivyo hivyo kwa mwanaume pia.Kwa bahati mbaya naweza sema wanawake wengi wanafanya machaguo ya kuwa na wavulana sio wanaume hizo sifa ulizo sema ni sifa za mvulana sio mwanaume.mwaume hawezi kuwa mvivu wa kutafuta kwa ajili ya mwanamke wake na familia yake.

To the woman he said,
“I will greatly multiply your pain in childbirth.
In pain you will bear children.
Your desire will be for your husband,
and he will rule over you.”

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi ni mtu wa saikolojia ilikua ni lazima nione mwonekano wako kujiridhisha fikra zangu juu yako pasipo kukuonea mkuu

Mimi ni mwalimu wa Saikolojia. Hivyo naelewa ilikuwa lazima Kwa mwanafunzi WA saikolojia anavyofikiria.

Kama ungekuwa Mwabasaikolojia wala isingekulazima kuhangaika kiwango hicho.

Kajifunze Semantic na pragmatic itakusaidia kupata maana katika Yale uyasomayo, na uyaonayo na kuyasikia
 
Sawa mkuu ni kweli wewe mwalimu wa saikolojia kwa mwonekano tu yani...refer to pragmatic...
 
Hahahaha naona Ile siredi ya mjumbe kutaka kumpeleka mzazi mwenzie mahakamani kisa ada imekuchefua
 
Umemaliza Mkuu.
 
Ungemuonyesha mfano wa kusugua.
 
Mleta mada wewe jinsia gani ? Kutwa kuleta habari za wanawake wakati jina lako ni la mtoto wa kiume

Ndugu wa mleta mada hebu kaeni naye

Muongee naye kuna shida au ana Genes za kike au shoga labda?
Google him mkuu utapata majibu yote uliouliza ...
 
Mimi nimelelewa na mama na wadogo zangu, ila kila likizo tulikuwa tunaenda kwa baba,mama yangu ni mtata mno ukichanganya alikuwa askar ndioo balaa

Yaan hiyo likizo ilikuwa na ratiba yake siku tatu kwa baba siku zilizobak kwa bibi mzaa baba...km mzee anataka tukae kwake likizo mwezi mzima ilikuwa sharti bibi mzaa baba aje tukae nae kwa baba au ndugu upande wa baba hasa ma aunt( hapa dogo alikuwa anamiaka 3,mwingine 6 mimi 9) hilo sharti lilikuwa kipaumbele cha bmkubwa ikitokea akijua tulikaa wenyew kw dingi na maza mdogo bila ndugu kuwepo bac inaweza pita miaka hata miwili bila kwenda kwa mzee( watoa taarifa ni madogo na ma aunt coz alikuwa ana bond nao kubwa mpaka sasa. kwamba tulikaa wenyew)

Bimkubwa wangu alikuwa mtata sana ila sijawahi sikia wanagombana masuala ya matunzo wala ada,mzee alimwachia nyumba bmkubwa alafu sijawahi sikia wakipondeana.. japo bmkubwa alikuwa anajifanya nunda anakomaa kutulipia ada mwenyew na huku tukitoka likizo tunafedha za mzee...yaan mashindano yao kiukweli sisi watoto tulifaidika mno(tulikuwa tunanunuliwa makolokolo mengi)

Mzee alikuwa anatuma hela kwenye acc ya bimkubwa,uzuri bmkubwa alikuwa anasema baba yenu kawatumia hela zenu( kwetu shangwe) zikiwa nyingi alikuwa anatununulia mashamba( sasa hivi ni viwanja kisasa mbuyuni-Dodoma na ilazo dodoma kila mtu now anavyo viwili viliwi)

Ila kuanzia kidato cha tatu bmkubwa ndio aliacha kutufuatilia tukiwa kwa Mzee akawa ananiambia waongoze wadogo zako huko kwa mama yenu mdogo ushajua baya na zur hata mkiwa wenyew bila bibi yenu..

Japo mzee amefariki sasa ishapita miaka mitatu ila kutengana na bmkubwa toka 1997 ila walikuwa wanaheshimiana sn,faza mtu wa stor na vituko sana..walikuwa wanapiga stor na kushauriana mambo mengi yaan mpaka tumekuwa watu wazima hatujawahi ona wakifokeana zaid ya kupewa taarifa tu nimeongea na baba yenu leo au nliongea na mama yenu..

Bimkubwa yeye baada ya kuachana aliishi mwenyew mpaka sasa..mzee alioa na kubahatika kupata watoto wawili kwa maza mdogo..

Maza mdogo tunaishi nae vizur tu,tunashirikiana mambo mengi,hata ivyo mzee alimwachia msingi mzur...ila na yeye pia ni mpganaji km bimkubwa ...(urithi haujasumbua maana mzee aligawaga urithi akiwa hai yaan kila familia ilijua vitu vyake mpaka ukoo wa mzee ulishirikishwa )
 
Femissts mpo? Singles! Naona mapovu machache kuliko nikivyotarajia.
Anaye pingana na ukweli anajisumbua Tu.
 
Mimi nashikilia hapo kwenye ujeuri wanawake wengi aisee ni wajeuri sanaa ninawaona wengine ninawashuhudia yani kwanza anavyoongea na baba mtoto ni full matusi hapo anataka kuomba ada anasema ngoja nimpigie huyo mbwa hajui ni muda wa ada? Mtoto akimuudhi atamtukana matusi yote anamwambia ww ni mbwa kama baba yako, mbona kuna wengine wanaishi vzr na malezi yanaenda ila siungi mkono kwenye matusi hasa kumtukana mzazi mwenzio tena unamtukana na mtoto matusi makali as if alikuwepo wakati unaenda geto kwa huyo baba ake. Mkiachana achaneni kwa amani mtunze watoto wenu kwa heshima na baba hakikisha kama ulihaidi kulipq ada lipa kwa wakati kuna kukosa sometyms shirikishaneni muone mta solve vipi. Ila wamama kwa midomo hatujambo.
 

Alafu wengu wanapenda kuvuruga familia za watu.

Anajipachika mimba makusudi na mume WA mtu Kwa lengo la Kula pesa za Mwanaume.
Akitumiwa za mtoto tuu anasema ndogo Kwa maana anapiga na mahitaji yake Kama Kodi na bills zingine.

Au mtu mmeachana anataka bado umhudumie Kama zamani, yaani kuna mambo yanachekesha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…