Anataka apate wakusingiziwa ili Recho aonekane anashida kwenye mfumo wa uzazi kaona miaka imeenda apate pakujifichaKwani huyo Recho tangu walivyoona na Fred akiwa na miaka 26 hakuzaa mpaka atake kuzaa tena na miaka 40?[emoji848]
tunaoa wanawake wadogo kwa ajili ya kupata uzao tu, kama ataenda kwa vijana wenye nguvu za kumnyandua sawa tu hakuna jinsi ila mzee nipate joto lake wakati nikiwa hai. Kikubwa heshima ya mume iwepo. Hawa wazee wenzetu nao huchoka na kuishiwa hamu ya kufanya penzi na hawahemki tena wakati mzee bado unataka mhemkajiAre you comfortable with her?? Hilo ndio swali la msingi.
Hakuna cha ukahaba, sema unajibu kwa hasiraBasi huyo hakuwa mke alikuwa kahaba aliyejificha kwenye ndoa
Hasira ya nini mkuu, nime relax napata makali tuHakuna cha ukahaba, sema unajibu kwa hasira
Mkuu, ninapenda sana utulivu wa nafsi. Mwanamke kunifokea tafsiri yake ananipanda kichwani, yaani yeye ndiye anataka kuwa mkuu wa nyumba. Hii ni aibu sana kwa morani.Point iko hapa 🤠🤠
Sasa unavyosema aondoke aende wapi ule muda aliokaa nawewe utarudi? Nikupambana humo humoYaani mimi niondoke katika nyumba niliyojenga kwa jasho langu? Mbona kutafuta tafuta huko mnafanya hata bila kuambiwa.
Wanawake vijana wote wanazaa? Kwanini uzae uzeeni na sio ujanani? Nani atalea watoto wako?No matter she is too young to me, regardless comfortable, kwa umri huo mkubwa unawezaje kuoa mwanamke ambaye naye ana umri mkubwa hata uzazi umefika mwisho hazai tena nawe unataka upate watoto angalau mmoja wa kuhitimisha uzee?. Kuoa mzee mwenzako maana yake hutaki kupata mtoto
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] angalia mke wa Rais wa FrenchHalafu wanaume kwanini mnajifanyaga hamzeeki? Hamzeeki wapi? Tuwaambie au tuwaache! [emoji38]
Binafsi age 2-5, huko kwingine siwezi, aanze kunipigia story za Y2K wakati mi Y2K sikuwepo! [emoji23] wacha nipambane na kijana wangu, anisuguane mpaka itoke cheche!
Siku akianza kuchoka na mimi naitafuta Menopause.
Ndio mkae kwa kutulia laa sivyo tutawadunda kama ngoma.Sasa unavyosema aondoke aende wapi ule muda aliokaa nawewe utarudi? Nikupambana humo hump
Ha ha ha ha haHasira ya nini mkuu, nime relax napata makali tu
Hadundwi mtu hapaNdio mkae kwa kutulia laa sivyo tutawadunda kama ngoma.
Mi nataka nipige miti mpaka nakufaSasa mwanaume ukishazeeka kumzidi mke wako yeye ananza kumtafuta kijana wakutimiza mahitaji, Aisee mimi Naona Ni vyema Kuoana Mliolanga Hamna Tabu, Kwan Unataka ufanye mapenz mpaka Ukiwa na miaka 70 au? kuna mambo mengine
Eti uzeeni akatafute msichana kweli? Na yule aliyevuta chuchu mpaka zimekuwa za kijani nani amzalishe! Labda kila mtu akasakanye huko akipata alete ndani asimuumize RechoFred miaka 25 ameshindwa kutungisha mimba. Umri wa mtoto kuzaliwa na Kumaliza Chuo Kikuu!
Tamaa inaingiaje hapo mkuu binti miaka 18 huyo kashapevuka anaolewaTamaa
Tamaa tu, ana miaka 42 anavutiwa na mabinti wa mike 30, kwa hiyo kama alioa na miaka 27 anapaswa aoe mtoto wa miaka 17.
Umri mzuri wa kupishana ni kati ya miaka 2 hadi mitano, reasonable, cha Muhimu, ni kuacha tu tamaa.
Hata babu wa miaka 76 anavutiwa na binti wa miaka 25, issue ni nidhamu na kujua kwamba mda umekutupa mkono.
Ukihitaji wizara ..ntakutafutaMaisha ni kuzingatia upevu wa akili,mfano mkiwa aged 30 wote wawili mtawaza kuanza ujenzi wa nyumba ya familia yenu wakati ukiwa na wa miaka 20 yeye atakuwa bado anawaza kuringishiana models za iPhones na kubadilisha mavazi huku wewe umri unaenda nguvu zikipungua akija kufika 30 wewe una 40 hapo ameshapevuka akili anaanza kuwaza ujenzi hapo mna watoto watatu wanasoma unadhani kuna kitu utafanya tena?
Mwanamke akila vizuri akilala pazuri hazeeki shida mnawatia stress kuchepuka lishe yenyewe hamtoi inavyotakiwa mnazeekea nyumba za kupanga hizo changamoto hataacha kuwa bibi akifika 43.
Uwezo utakuwa nao?Mi nataka nipige miti mpaka nakufa
kuchoka ukiwa 45 ?? Labda uwe umefulia tu..lkn huo umri kama umejipanga vizuri ndio umri wa kuenjoy mautamu na vacation za hapa na paleUkiwa na miaka 45 na mkeo awe na 30, atakupeleka puta vibaya sana! Yeye wakati huo ndio ujana umekolea wakati wewe umeshaanza kujichokea na umeshatulia.
Ill-mannered author of the thread.ill-planned story
Mwanaume kama unakula vizuri na unafanya mazoezi ya hapa na pale moto unapeleka mpaka uzeeni tatizo wengi huwa wanajisahau mtu unaendekeza kitimoto na bia wakati uko abv 40Uwezo utakuwa nao?