Wanawake wengi walio active kwenye mitandao ya kijamii sio wa kufanya nao maisha. Hiyo ni red flag tosha kaa kitaalamu kidume usipuuzie hilo

Ukiona mdada anapenda tik toc, ig halafu shabiki wa yanga,amini nakuambia ana biashara ya siri ya mwili wake.
Hata kama ni mlokole,tena walokole wanafiki sana maana wanajiuza na magauni yao marefu hivyo hivyo
 
Upo sahihi kabisa_ Kuna Bi Mdada alikuwa bize sana Na Face Book ,Kwa sasa yupo Bize kwenye Mtandao wa X .... ni Malaya wa Kutupwa na vijana wengi wanaingia mkenge ile mbaya! Anawapanga tu kama Mafungu ya Nyanya
 
Sema mimi uwa siwaelewi wale watu wanaopiga picha chumbani mwao wanapolala Au wakiwa wanakula vyakula vizuri wanapiga picha alafu wanapost mitandaoni
Wengi wanakuwaga na Wanaume kwenye Gest house na mahotelini_ Ukiona Bint anapost sana mavyakula au yupo chooni kwenye mahotel n.k jua ya kuwa yupo Kazini_ Majuzi hapa kuna Bi mdada amepost Video akionyesha anavyokula raha mara Mguu wa Mwanaume Ukatokea kwenye video🤣🤣 mpaka muda huyu Bi mdada yupo kwenye Hali ya kusemwa na kusimangwa huko X
 
Hakuna mahali pamesemwa social media zifunguwe

Kinachozungumziwa ni jinsi matumizi yao kwenye hizo social media yalivyo
 
Matumizi ya mitandao hayaepukiki sawa ndio maana suala linalozungumziwa ni anaitumiaje hiyo mitandao ya kijamii

Mojawapo ya akili ya kuishi nao ni kuangalia mwenendo wake kwenye social media
 
Asante mungu wife ana kiswaswadu na hata acount ya fb haijuii yeye ni kanisa na yeye na mm hwa nikirudi home mm ndio nachezea simu hadi najistukia naweka mezani ni show show anapenda kweli hawa wanawake wa mitandaoni malaya mm nimewaķula kama kumi hivii kuwasifia tuu kuna mtandao unaitwa tagged huko ni malaya watupuu hata fb x Instagram nimewakula wengi mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…