Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,683
- 14,060
Wanakubaliana katika nini ? Na hao 12 waliokamatwa ?Hapana mkuu kule raia wengi wanakubaliana na kinachoendelea tunaopiga kelele ni watu wachache wa huku bara, tukisema kule kuna taratibu zao mnapiga makelele acha dawa iingie tu
Hakuna asiye fahamuZanzibar ni Nchi
Yes, ni hawana fedha yao tu!.Zanzibar ni Nchi
Sio kila jambo la kuvumiliaJifunze kuvumilia, kila kiumbe kwenye huu ulimwengu kina mwanzo wa upeo na mwisho wa upeo wake, tatizo linaanzia pale viumbe wengine mwanzo na mwisho wa upeo wao unakuwa ni mfupi zaidi.
Subiri Wakristo wadai Sheria ya kwaresima.Atafungwa kwa sheria ya kukataza kula.mchana ramadhan na atakaa jela hadi ramadhan iishe.
Hiyo ni ya TanganyikaKwahiyo haifwati Katiba ya muungano?
Allah hana uwezo wa kujitetea, anatetewa na Mudi na wafuasi wake majini ..Si aachiwe Allah mwenyewe Serikali ya Mapinduzi inaingilia nini?
inasemekana wako mbioni kuitengenezaYes, ni hawana fedha yao tu!.
Wengi wape mkuu, au hii kanuni haipo siku hiziWanakubaliana katika nini ? Na hao 12 waliokamatwa ?
Subiri Wakristo waanze kupiga kelele hilo tatizo litahamia hata huku Tanganyika. Suala la muda tu.Hiyo ni ya Tanganyika
Mind your businessKwa haya yanayo endelea hilo li nchi ni dola la Kiislam au ?View attachment 2947442
Mungu hajawahi kufosi ni Mwanadamu ndie anajifanya kufosi.Allah hana uwezo wa kujitetea, anatetewa na Mudi na wafuasi wake majini ..
Mind your businessSio kila jambo la kuvumilia
Sisi weusi siyo binadamu kamili. Wakati evolution of man ikitokea, watu weusi ilituacha katikati ya nyani na binadamuHivi sisi majitu meusi tuna akili punje nini ? Mbona tunakumbatia hata taratibu za kishenzi kwa mgongo wa imani za kikoloni na utumwa