Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Acha uduwanzi au wewe ni msukule?
Magufuli sio mchapakazi bali mgandamizaji wa Demokrasia. PERIOD

Itafahamika tu endeleeni kutapatapa, Jafo anajichimbia kaburi lake mwenyewe.
 
Taka njooni tuuumane kama mko poa
 
Kwanza kabisa ili kurudisha imani kwa wananchi kuhusu uhalali na haki katika uchaguzi, wale watendaji wote waliohusika kufanya uhalifu dhidi ya wagombea, wakaaibisha serikali ndani na nje, waondolewe kwenye ofisi zao na wafunguliwe mashitaka.
Haiwezekani na haikubaliki popote pale, kuwarudisha wagombea waliokatwa huku uchaguzi ukisimamiwa na wahuni wale wale.
 
Kisheria Jafo hana mamlaka ya kuwaengua au kuwarudisha ulingoni wagombea na ilimradi waliowadhamini wameshatoa tamko la kujitoa.
Iundwe Tume guru ndipo kutakua na Uchaguzi wa kweli na haki.
QUOTE="ibesa mau, post: 33433089, member: 325958"]
Jafo hajawahi kufanya kazi kwenye Halmashauri, anaposema vilivyosusia ni vyama sio wagombea ,ana maanisha wagombea wataendelea kupigiwa kura, hajui madhara yake ukiwa watachaguliwa, hawatashiriki shughuri zozote za maendeleo ikiwa watapita. Ikitokea hivyo shughuri nyingi za kwenye hizi LGAs zinategemea sana hawa viongozi na sio madiwani. Watapelekewa vifaa vya viwandani kwenye miradi wataviweka ndani, shughuri nyingi za wananchi zitakwama.

Mimi nafikiri utafutwe muafaka , Jafo ana mamlaka ya kuwarudisha wagombea wote waliotolewa, kwa sababu makosa yao ni madogodogo tu ya ujazaji wa fomu sio ya jinai.
Lazima ifike mahari tukubali hatukufikiria wakati tunapanga kuwaondoa xhadema na ACT, ilibidi pia tupandikize wahombea toka kwenye vyama vingine 11,ili hawa wakigoma hao wengine wanabakizwa kwa ajiri ya justification, sasa hawajasimamisha wagombea halafu wanaambiwa waende mbele ya waandisha wa habari wakatoe tamko la kuendelea na uchaguzi, wakati tumeshachelewa
[/QUOTE]
K
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…