Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Eti walienguliwa na vichaa kwa maelezo ya boss wao. Inamaana boss wa vichaa bila shaka na yeye atakuwa sawa nao au kawazidi kidogo?
 
Nimecheka sana anavuja jasho mara mpira kwapani, anahangaika sana
Anaongea kwa kubabaika sana,hakutulia kabisa kitini...utadhani sio Yule chiriku tuliyemzoea..hahahahh
 
chadema wakishiriki , watakuwa wameumia .lakini ni wakati sasa ya kudai tume huru ya uchaguzi .... Mungu amesikia kilio cha chadema . wameonewa sana . Mungu akasema ngoja mpinzani wako ajichanganye hapo hapo ndiyo pa kukamatia ....tume huru ya uchaguzi ndiyo mpango mzima .Mchakato wa Uchaguzi uanze upya .

david cameron aliwahi kusema........Elections aren't about records, they're about plans and choices.
 
Maskini ya rabi wanahangaika kama vifaranga vilivyonyonyolewa manyoya ya mkiani. Jiwe anaharisha tu baada kuona janja ya nyani imeshitukiwa. Hakuna namna Mbowe, zitto, Lipumba, mbatia hakuna kurudi nyuma tena watajamba wakati huu. Ushenzi mtupu halafu wakirudi wakasimamiwe na wale waliowaengue Go to hell idiots Kuweni wenyewe mukwibe vizuri sasa hivi agiza train ya maji stupid
 
Chadema toeni tamko Sasa kuwa mtashiriki
Walio jitoa wakishiriki ntawaona wapumbavu x100, otherwise walo vuruga wachukuliwe hatua. Na wakumbuke pia kivuruge mkuu JPM bado yupo zamu!
 
Wakati mwingine lazima tujiulize ,unapomfanyia ubaya mwenzako moyoni mwako unajisikiaje ,nilimsikiliza professor Lipumba ikisema haikuwa na maana yeyote kuandaa uchaguzi huu kama wahusika walijua kuwa haikuwa wa haki na huru
 
John Shibuda akiiasa CCM nanukuu " Nyama ya kitimoto hata uibadilishe jina au uitie viungo kibao vya kunukia na kuongeza ladha, bado itabaki kuwa haramu kwa wanaoamini" mwisho wa kumnukuu Mzee Shibuda.

CCM baada ya kunajisi katiba ya nchi na utaratibu wa vyama vingi kuelekea uchaguzi huu wa serikali za mitaa na vijiji, hata mje na kubadilisha gia za aina zote bado ni uchaguzi haramu.
 
Nilisoma mahali flani kuwa wale wote waliokatwa wanaruhusiwa kurejea kwenye kinyang'anyiro, hii itakuwa siyo kutoka kwa jafo direct but vigogo wa ccm wamekaa na kutafakari kwa undani (akiwepo head secretary dr. bashiru ambaye namuona hakubaliani na uamuzi ule) so wameona HAIBU.

Hakuna atakayeshitakiwa hapo, ndani ya chama au popote.
 
Hili unalisema leo,muda woote ulikuwa wapi hivi ni kwann mtu ukiwa mfuasi wa chama cha kijani unakuwa na shida ya kufikiri?
 
Kumlaumu Jafo ni kumwonea yeye yupo kama TV tu.!
Aisee, hakuna dharau kubwa kuliko hii!

Umemtukana tusi baya sana; lakini ndio hivyo tena, mradi watoto wanaenda chooni, hakuna tusi lisiloweza vumilika kwa baadhi ya watu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…