Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Hahaaaa Na bado wanajua kabisa nchi nzima Magufuli hatumpendi ispokuwa wachumia tumbo wachache, aache tu aambulie aibu.

Vitendo vya magufuli vitaendelea kumtia aibu hadi atakapoamua kuachana na magumashi yake. Upinzani tanzania unaunga mkono na zaidi ya watu wazima 20M kati ya 30M ukichana na watoto 15M

Ameona nguvu kubwa ya upinzani!

Aliambiwa nchi sio yake pekee yake...ngoma ameisoma!

Im sure hakuna kima yeyote wa upinzani atakua kwenye hilo sanduku
 
Hakuna kitu hapo, huo ni mtego...

Ni sawa na wanafunzi ambao wamegomea kufanya mtihani wa mwisho na number za kufanyia mitihani hawana, uwaambie wanaruhusiwa kufanya mitihani...

Hii inaitwa 'Maji ya shingo'


Cc: mahondaw
 
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
Pathetic
 
Naona Jafo sasa na wapambe wake hawaileweki is too late. Mawazo ni kama vile yanategemea amelala kwa mke yupi siku hiyo. Hakuna sheria badala ya personality tu hapa. Sijawahi kuona mfumo waziri ndiye atakuwa anatoa maamuzi kwenye chaguzi! Na ni wa chama kimoja😂. Yaani kama huoni kuna tatizo la kisiasa Tanzania wewe ndiyo tatizo.
NILISHA SEMA HUU NI MPANGO WA MUNGU NA MAGUFULI NI MPANGO WA MUNGU, Wenyewe CCM wanakubali KUWA mAGUFULI KUWA RAIS NI MPANGO WA MUNGU, KATIBA MPYA IS COMING around the corner. Kwanza tujifunze namna na UZITO WA KUTUNGA KATIBA MPYA. Magufuri chapa kazi baba.
 
Huu uchaguzi na figisu zake utakuwa na Matokeo hasi sana kwa uchaguzi ujao. Kumbuka katika uamuzi ya kuwarudisha Makatibu tawala kuwa wasimamizi wa uchaguzi Majaji walisema kwamba tume ina waapisha hawa watendaji kabla ya utekeleza majukumu yao ya usimamizi wa uchaguzi, hivyo hivyo nafikiri kwa watendaji hawa wa kata.
Katika hukumu hiyo kama majaji hao hao wakarudia ama kupitia uamuzi wao huo na kuona hali halisi kinachoendelea mtaani kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa basi nafsi zao zitakuwa na la kujifunza
 
Mnamuonea Jaffo bure.

Yeye anapokea maagizo toka nyumba nyeupe.

Kauli zake zinapishana kila asubuhi.
 
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
Ficha ushamba wako huu.
 
Namuona jafo hapa UTV wagombea wa chadema walikuwa 19% ya wabombea wote

CUF likuwa na wagombea 4% ya wagombea wote

VYAMA vilivyobakia walikuwa 1.005 ikiwemo na ACT

CCM ilikuwa na wahombea 79& ya wagombea wote

Form zilizokataliwa zilikuwa asilia 28.66% ya form zote


State agent
LGBT
 
wakishiriki hata wakishinda hawatotangazwa
Kweli. Hapo ni danganya toto kwa pipi.

1. UPINZANI USIJARIBU KUENDELEA NA ZOEZI HILI.

2. ZOEZI LA UCHAGUZI LIBATILISHWE.

3. WATENDAJI WOTE WAFUKUZWE KAZI.

4. JAFO AJIUZULU MARA MOJA NA KAMA AMEHUSIKA KWENYE JINAI ASHTAKIWE.

5. UFANYIKE UANDIKISHAJI UPYA WA MAJINA.

6. USIMAMIZI WA UCHAGUZI KATIKA HATUA ZOTE UWE SHIRIKISHI. (Vyama vyote viweze kuhusika katika kuhakiki wanaojiandikisha).
 
Hawa raia natamani niwasikie kauli zao tena maana naona walitoka kumfurabisha mtu fulani kuwa wako nae katika zile kauli nikuteuwe na umtangaze mpinzani mshindi.

Sasa kauli ya jafo najua kashikizwa hata sura yake inaonyesha ivyo na walishatangaza wana ccm washapita bila kupingwa inamaana washindi wametenguliwa au wameambiwa watulie waje kuhalilishwa.

Polepole yuko wapi na anakauli gani na wanasheria wake 2,000
Akitokea UVCCM mmoja tu akikujibu nitag
 
Back
Top Bottom