Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Vipi kuhusu wale waliokwenda kurudisha fomu wakakuta ofisi zimefungwa siku nzima? Huu uchaguzi ufutwe tu au wababe wajitangaze tu wameshinda kuliko kutuhadaa
 
Nimeipenda hii kauli ya Msimamizi mkuu wa uchaguzi wa serikali za mitaa Waziri Jaffo.

" Hakuna Kukimbiana Lazima Kieleweke"

Chadema msiweke mpira kwapani rudini uwanjani refa anawaita.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Daudi Mchambuzi
 
Vipi kuhusu wale waliokwenda kurudisha fomu wakakuta ofisi zimefungwa siku nzima? Huu uchaguzi ufutwe tu au wababe wajitangaze tu wameshinda kuliko kutuhadaa
Yani kila swali kila hoja Ni point CCM mmeshikwa makend...
 
Tuweke mpura kwapani wakati mpira ulikuwa wa kwenu
 
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
Utter nonsense
 
2209118_IMG-20191110-WA0115.jpeg

Hilo tangazo wamechapisha wapinzani nini? Eti hapo ni Novemba 24, mwaka gani? Kama nimeona 2910. Naona dhambi inawatafuna sasa.
 
Jafo hakika anaonewa 100%, ambaye haitakii Mema Nchi hii ni Jiwe mwenyewe. Ila atavuna anachokipanda kwa Muda na wakati Ukitimia.
 
"Mkurugenzi Nikupe Gari, nikulipe mshahara halafu Unamtangaza mpinzani kashinda................"kauli hii itafanya kazi baada ya mbinu ya kupita bila kupingwa kugonga mwamba.
 
Nimeipenda hii kauli ya Msimamizi mkuu wa uchaguzi wa serikali za mitaa Waziri Jaffo.

" Hakuna Kukimbiana Lazima Kieleweke"

Chadema msiweke mpira kwapani rudini uwanjani refa anawaita.

Maendeleo hayana vyama!

cc: Daudi Mchambuzi

You motherfuckers are so insane!

Yaani mfunge ofisi watu wasirejeshe fomu

Waliorejesha muwafute

Halafu mnataka tuje tubariki huo “uchafuzi” wenu?

Halafu mnaongea kijuu juu tu eti “Chadema msiweke mpira kwapani”!

Lugha za kimalaya sana hizi!

Halafu mnataka tuwachukulie serious kwkaweli?

Mnadhani kuna mitoto hapa?

Wajinga kabisa nyie!

Haji mtu!

Na mkitufata ni mezani,masharti kama 100 hivi na yatekelezwe yote,otherwise endeleeni na kujipitisha!

Mamaaaeeee zenu nyote!
 
Wakuu nimekuwa nikifatilia matamko mbalimbali kuanzia kwa Wakuu wa mikoa Mawaziri na watawala wa Ccm wote maelezo yao niyaubabe lakini majibu ya Kangi Lugola Bungeni yalinitoa machozi. "Chama cha upinzani kilichojitoa kwenye kinyang'anyiro ndio kinachochea vitendo vya vurugu zinazoendelea nchini, tutawashughlikia".

Leo Jafo kaitimisha kwa kuwarejesha watia nia wa upinzani wote walioenguliwa na vichaa (watendaji) kwa maelekezo ya boss wao.

Nchi mkaipeleka kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe ikichanganya msikimbie msubiri mpaka mwisho.
FB_IMG_1573406551485.jpeg
 
You motherfuckers are so insane!

Yaani mfunge ofisi watu wasirejeshe fomu

Waliorejesha muwafute

Halafu mnataka tuje tubariki huo “uchafuzi” wenu?

Halafu mnaongea kijuu juu tu eti “Chadema msiweke mpira kwapani”!

Lugha za kimalaya sana hizi!

Halafu mnataka tuwachukulie serious kwkaweli?

Mnadhani kuna mitoto hapa?

Wajinga kabisa nyie!

Haji mtu!

Na mkitufata ni mezani,masharti kama 100 hivi na yatekelezwe yote,otherwise endeleeni na kujipitisha!

Mamaaaeeee zenu nyote!
Mwenyewe...!
 
Kieleweke Indeed. Figisu za kujipikilisha tuwaachie wenye Chadema & Co.
 
Back
Top Bottom