Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Waziri Jafo abadili gia angani, afuta maamuzi yote ya wasimamizi wa uchaguzi kuwaengua wagombea. Wagombea wote ruksa kushiriki uchaguzi

Sasa wewe state agent unasema watu wa chadema bado wanarejesha fomu. Na wakati muda wa kurejesha fomu umeshapita na unatudanganya kwamba mnaendelea kuwapokea.
 
View attachment 1259801
Hilo tangazo wamechapisha wapinzani nini? Eti hapo ni Novemba 24, mwaka gani? Kama nimeona 2910. Naona dhambi inawatafuna sasa.
Ukiwa na mchecheto ndio akili inakuwa hivyo. Huo uchaguzi wa 2910 tutauangalia Jiwe akiwa malaika mpendwa upande ule wa pili kama atapita usaili. Kuna mtu kachanganyikiwa hapa.
 
Yaani katika wapuuz ambao siwapendi hapa jf ni wewe na anajiita state agent ni wapumbavu sana nyinyi
Siasa za ulaghai zimefika mwisho Wananchi hatudanganyiki tena

Mimi nilijua huu ni mchezo wa upinzani kuepuka aibu ya kushindwa

Wamenusa harufu ya uchapakazi wa Magufuli anavyokubalika kwa Wananchi wakaona njia ya kuepuka aibu ni kujitoa kwenye Uchaguzi

Ila kwa kuwa Serkali inamkono mrefu ikawa imenasa huo mtego

Wengine walikosea kujaza fomu makusudi ili wasipitishwe

Ningeomba serkali iwarudishe wote hata wale wasio jua kusoma na kuandika
 
Jiwe ndo muhusika mkuu,miaka yote amekuwa akiendesha uhuni wa kupita bila kupingwa kule ubunge chattle,kuna mwaka nakumbuka mgombea wa upinzani alizuiliwa Kwa trecta,jaffo anatekeleza tyu maelekezo,wa kujiuzulu ni jiwe analiharibu taifa
 
Mbowe amezungukwa na washauri wabaya

toka dr slaa aondoke amekuwa na maamuzi ya kukurupuka
 
Aman iwe nanyi wakuu

Naona vyama vya upinzani vikiwa vimeshikilia mpini wakati serikali imeshikilia makali

Polen sana ccm mlijifanya wahuni kumbe mbowe ndo mhuni zaid yenu

Msimamo wenu uendelee kuwa huo huo

Msikubali kujiingiza kwenye uchaguzi wa kijinga jinga namna hii


Usimtendee mwenzio mabaya

Shwain

LONDON BOY
Mwenye masikio na asikie
 
Wakati Suleimani Jafo (MB) Waziri wa nchi OR- TAMISEMI akiongea na waandishi wa habari leo Dodoma kuhusu kufuta maamuzi ya wasimamizi wenzake wa uchaguzi wa ngazi za chini, kuna jambo sioni likiongelewa na wadau hasa humu mitandaoni.

Jambo lenyewe ni hili, JAFO alikuwa akiongea kama kada wa CCM si kama msimamizi mkuu wa uchaguzi. maneno kama " wasiweke mpira kwapani, waje tuwapige, wasikimbie ulingoni waje tuwatandike" si maneno ya refarii nayetakiwa kuwa nutro hata kama ana timu yake. Piga picha Jaji Kaijage mwenyekiti wa NEC ndio anaongea hivi, tuombe asifike huko.

Maendeleo hayana vyama.
Hahahaaaaa......!

Umenikumbusha Mchungaji Erasto: Jaffo mnamuonea bure hana sifa ya Jaji

Maendeleo hayana vyama!
 
Nijambo la ajabu waziri wa Tamisemi idara yake kujichanganya hadi waziri anatoa tamko ,uchaguzi uendelee kwa wagombea kuendelea ,na mchakato wa uchaguzi

Hii ni ajabu ivi wasimamizi wa Mitihani wameisha sema baadhi ya wanafunzi wamekosa sifa za kufanya mitihani kwa vigezo husika au makosa ya hao wanafunzi

Sasa baadaye inagundulika kumbe ni fitina ya wasimamizi na kelele zimepigwa wale wanafunzi sasa warudi kufanya mitihani ,bila kujua wasimamizi wameondoa mood na ari ya kufanya mitihani hiyo

Nimuombe Jafo waswahili walisema ,akilinyingi huondoa maarifa ,jafo maarifa yametoka ,ukweli kuwaambia tena wagombea warudi tena kugombea ni kanakwamba umeisha jua kuwa ngoja waje ,tuwamalize kwa njia hii.

Jafo umetengeneza tatizo ,hill ni busara ujiuzulu ili mchakato uanze upya hapa imani haiko tena

Ukweli wapinzani kukubali kurudi wataonekana sio wajinga tu bali wapumbavu na waoga.

Jiuzuru Raisi ateue waziri mwingine aje aendeshe zoezi hili.
Jafo umeaibisha Taifa,umumuchonganisha ,Raisi na wananchi kuwa yy hapendi wananchi wake.hii ni hatari

Kumbe ni hii Incapacity ya Jafo ameshindwa.

Not so fassssst!

Uchaguzi haurudiwi kisenge senge!

Unarudiwa kwa masharti yapi yaliyoko mezani??

Upinzani haurudii uchaguzi wowote bila masharti yao kutimizwa!

Hii sio some uamuzi binafsi wa Jafo kuita vyombo vya habari na kutoa maamuzi binafsi tu!

Hapa ni mezani,otherwise wajipigie kura wenyewe!

Mawe ni kiazi sana aisee!
 
Duh...!! Pepa umeibidua juu chini!! Makali wanayo wapinzani... 'uchwara' .kwa herini wapinzani mmeua ndoto zetu.
 
Wakati Suleimani Jafo (MB) Waziri wa nchi OR- TAMISEMI akiongea na waandishi wa habari leo Dodoma kuhusu kufuta maamuzi ya wasimamizi wenzake wa uchaguzi wa ngazi za chini, kuna jambo sioni likiongelewa na wadau hasa humu mitandaoni.

Jambo lenyewe ni hili, JAFO alikuwa akiongea kama kada wa CCM si kama msimamizi mkuu wa uchaguzi. maneno kama " wasiweke mpira kwapani, waje tuwapige, wasikimbie ulingoni waje tuwatandike" si maneno ya refarii nayetakiwa kuwa nutro hata kama ana timu yake. Piga picha Jaji Kaijage mwenyekiti wa NEC ndio anaongea hivi, tuombe asifike huko.

Maendeleo hayana vyama.
Jafo hajawahi kuwa mwadilifu
 
yaan hii serikali ya ajabu kweli, wazir amewarudisha kwa vigezo gani wakat alisema wamekosea masharti...jiwe ameanza kuona aibu..
 
Waziri wa Nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza kuwaruhusu wagombea wote waliochukuwa fomu na kuzirejesha kwa ajili ya kugombea nafasi mbalimbali katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika nchini Tanzania Novemba 24, 2019 wanaruhusiwa kushiriki uchaguzi huo na amefuta maamuzi yote yaliyofanywa na wasimamizi wa uchaguzi Nchini kote ya kuwaengua wagombea wa vyama mbalimbali. Waziri Jafo ametoa uamuzi huu jijini Dodoma alipokuwa akizungumza na wanahabari leo.

Chanzo: Ukurasa wa OR-Tamisemi Facebook


Hata hivyo Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa nchini Tanzania (Tamisemi), Selemani Jafo ametangaza wenyeviti wa vijiji 6,248, wa mitaa 1169 na vitongoji 37,505 wanaotokana na CCM wamepita bila kupingwa baada ya kutojitokeza kwa wagombea kutoka vyama vya upinzani.


“Kwa upande wa vitongoji Chama cha Mapinduzi kimepita bila kupingwa katika vitongoji 37,505 kati ya vitongoji 64,384 sawa na asilimia 58,”

Amesema katika wajumbe wa kundi la wanawake jumla ya wajumbe 64,085 wamepita bila kupingwa na wajumbe kundi la mchanganyiko jumla ya wajumbe 75,560 wamepita bila kupingwa.
Kumbe yeye ndiye atoae ruhusa!!?
 
Aman iwe nanyi wakuu

Naona vyama vya upinzani vikiwa vimeshikilia mpini wakati serikali imeshikilia makali

Polen sana ccm mlijifanya wahuni kumbe mbowe ndo mhuni zaid yenu

Msimamo wenu uendelee kuwa huo huo

Msikubali kujiingiza kwenye uchaguzi wa kijinga jinga namna hii


Usimtendee mwenzio mabaya

Shwain

LONDON BOY
Ukweli mtupu !!
 
Jafo
Tume
CCM
Serikali

Kila hoja wanayotoa kuhalalisha mazonge yao inakosa mashiko na ndio watu wanazidi kuiona hila yao

Yani hizi wiki tatu zimekua Ni za aibu kuu kwa gvt

Pole Sana jafo ivumayo haidumu.
 
Jafo amechanganyikiwa na bado utajuta kuwekeza kwenye kuoa tu.
 
Back
Top Bottom