Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Life expectancy yao inasogezwa na maendeleo ya nyanja ya matibabu, lakini sio afya, watu wanapigwa maboost ya kuedelea kuishi, serikali zao zinahaha kuwaomba wajaribu kula lishe bora, ambayo ni gharama ya kununua, na kupika mwenyewe, watu huko wanakalukuleti mpaka kupika nyama au mboga za majani inakula umeme au gesi kiasi ganiNani kakuambia vyakula vya kopo vina sumu?? Mbona huko wanakoishi kwa hivyo vyakula vya makopo ndio wana life expectancy kubwa zaidi? Kama ni sumu kwa nini wastani wao wa maisha ni mkubwa sana kutuzidi sisi??
Upo sahii 1000%Vyakula vya Makopo vina sumu
Ni kweli kabisa kuhusu 'masikini', kula vyakula vya makopo na ni kweli ni wenye uwezo ndio wanaokula vyakula Fresh(asili?)na huko wanakula maskini, vyakula vya asili wanakula wenye uwezo....
Ki[pofu aliyeona punda.Magharibi wana supu zilizofungashwa kwenye box na makopo kama juice! Yani unanunua supu unaenda kupasha tu unakunywa, hakuna haja ya kupoteza muda kuchemsha nyama masaa ukitafuta supu.
Waambie.Life expectancy yao inasogezwa na maendeleo ya nyanja ya matibabu, lakini sio afya, watu wanapigwa maboost ya kuedelea kuishi, serikali zao zinahaha kuwaomba wajaribu kula lishe bora, ambayo ni gharama ya kununua, na kupika mwenyewe, watu huko wanakalukuleti mpaka kupika nyama au mboga za majani inakula umeme au gesi kiasi gani
Na vyakula vya lishe bora, huko wanaita organic, vinakuwa bei mbaya
Narudia ni mpaka mfike huko na kuishi nao, ndio mtajua,
Wewe hujui supu ya bongo; ni mchuzi pamoja na nyama iliyoungwa chumvi, limao na pilipili. Nyama hiyo inaweza kuwa ni utumbo, makongoro, nofu la kawaida, mbavu au hata maharage. Lakini broth ni mchuzi ambao haujaungwa chochote, hivyo hiyo siyo supu ya kibongo kabisa. Inatengezwa kwa kuchemsha nyama na maji ndani ya sufuria halafu huo mchuzi unaopatikana ndiyo broth yenyewe. Wanaufungwa kwenye vacuum kusudi usiharibike.Hii mnayoita supu kibongo ndio broth sasa. Soup/supu halisi kizungu inawekwa mazagazaga kama yote(karoti, vitunguu, hoho, njegere, french beans n.k)
Kuna wabongo wengi tu wanachemsha nyama hawaungi na chochote, hawaweki chumvi, limao au pilipili. Mnachoita mchemsho ndio soup kwa wazungu, mnachoita supu nyie ni broth, hata mzungu akinunua broth anaweka chumi, limao na pilipili akipenda.Wewe hujui supu ya bongo; ni mchuzi pamoja na nyama iliyoungwa chumvi, limao na pilipili. Nyama hiyo inaweza kuwa ni utumbo, makongoro, nofu la kawaida, mbavu au hata maharage. Lakini broth ni mchuzi ambao haujaungwa chochote, hivyo hiyo siyo supu ya kibongo kabisa. Inatengezwa kwa kuchemsha nyama na maji ndani ya sufuria halafu huo mchuzi unaopatikana ndiyo broth yenyewe. Wanaufungwa kwenye vacuum kusudi usiharibike.
Wewe mujahideen hakuna chochote cha maana ulichoandikia hapa, sijazungumzia nyama ya kopo, shida yako ilikuwa kuwashwawashwa kumtaja Nyerere tu ndio usikie raha.Ki[pofu aliyeona punda.
Unaloliona kwa mara ya kwanza unafikiri ndiyo kwanza limeanza.
Hayo mammbo yapo zamani, miaka mingi sana nyuma, kinachobadilika ni ubunifu na vifunganishi tu.s,
Tanzania tulikuwa ytuna kiwanda kinatengenezz beef ya kopo, unaifunguwa unakula tu au ukipenda kuiongezea fundi, kazi kwako. Hiyo ilikuwa 60. Kiwanda kilikuwa pale Kawe, kinaitwa Taganyika Packers, kikataifishwa na nyerere. kikashindwa kuendeshwa, kikafa, mpala leo hii tunaona badala ya kiwanda kimekuwa uwanja wa wajinga ndiyo waliwao.
Wewe acha porojo zako, hata Tanzania hamli organic foods na sio kila mtu ana huo muda wa kununua na kupika mwenyewe kila mlo. Supermarkets za West zimejaa vyakula vya kila aina kutoka mashambani, vingine hata wewe hujawahi kuviona dunia hii na watu wanapika kuliko hata wewe mbantu.Life expectancy yao inasogezwa na maendeleo ya nyanja ya matibabu, lakini sio afya, watu wanapigwa maboost ya kuedelea kuishi, serikali zao zinahaha kuwaomba wajaribu kula lishe bora, ambayo ni gharama ya kununua, na kupika mwenyewe, watu huko wanakalukuleti mpaka kupika nyama au mboga za majani inakula umeme au gesi kiasi gani
Na vyakula vya lishe bora, huko wanaita organic, vinakuwa bei mbaya
Narudia ni mpaka mfike huko na kuishi nao, ndio mtajua,
Kaingia mjini leo huyo.msamehe
Na ndiyo maana life expectancy ya huko iko juu sana kulinganisha na kwetu.Hiyo supu ya kopo ndo mnaita lishe?
Hujawahi kula supu la kitanzania bali unalisikia tu. Ningali kijana tulikuwa tukiamka na hangover tunakwenda kwa mangi wa supu; bakuli moja tu linakutoa kijasho chembamba na hangover yote inakatika. Broth haiwezi kufanya hivyo; in fact mimi hupikia sana broth kama kiungo kimojawapo kwenye nyama nikitaka kula ugali. Borth ni majimaji tu!Kuna wabongo wengi tu wanachemsha nyama hawaungi na chochote, hawaweki chumvi, limao au pilipili. Mnachoita mchemsho ndio soup kwa wazungu, mnachoita supu nyie ni broth, hata mzungu akinunua broth anaweka chumi, limao na pilipili akipenda.
Fika Ulaya au Marekani agiza supu ndio utajua hujui.Hujawahi kula supu la kitanzania bali unalisikia tu. Ningali kijana tulikuwa tukiamka na hangover tunakwenda kwa mangi wa supu; bakuli moja tu linakutoa kijasho chembamba na hangover yote inakatika. Broth haiwezi kufanya hivyo; in fact mimi hupikia sana broth kama kiungo kimojawapo kwenye nyama nikitaka kula ugali. Borth ni majimaji tu!
Wanakula sumu? Vyakula vyao vina viwango vya hali ya juu, viko regulated sana. Na wanaishi kwa muda mrefu sana. Ukifa na 70 unaonekana umekufa mapema.Wapo mbali kwenye kula sumu na vyakula vya Makopo?
Mtazamo wako unashangaa kwakweli
Mimi naishi Marekani kwa miaka 30 sasa; kwa hiyo najua ninachosema. Broth inatunzwa kwenye friji (refrigerator), wakati soup inatunza kabatini (pantry) tu. Nikijadili kwa kiswahili kizuri hapa usidhani niko Igalula; hapana, ndiko ndani ya USA. JF hunipa nafasi nzuri sana ya kutumia kiswahili changu kwani nikishatoka JF huwa situmii kiswahili tena.Fika Ulaya au Marekani agiza supu ndio utajua hujui.
Kwenye suala la lishe wazungu wako mbali sana
Bei ya kopo inàzidi Bei ya makande, mpare gani atatoa hela ya kununua kopo na makande?Na thithi wa thame watuletee makande ya kopo