Wengi wanaopiga kelele kuhusu bandari ni wapitisha mizigo kimagendo bandarini

Wengi wanaopiga kelele kuhusu bandari ni wapitisha mizigo kimagendo bandarini

Kwa ni usiseme serikali imeshindwa! Simple as that.
Serikali inayolea wezi, inashindwaje kuingia mkataba wa kifisadi?!


Hoja yako dhaifu.
Karibia 75% wamelishwa maneno kuhusu issue ya huo mkataba na wala sio kwamba wameusoma wenyewe na kuuelewa kisha wao wenyewe wakabaini hayo mapungufu.
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.

Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.

Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara

Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo

Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba

Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli

NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC

#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC

Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Kumbukumbu wanaolalamika ni wapinzani, raia wa kawaida na viongoz wa dini! NB: Mbona wezi na mafisad hawalalamiki kuhusu hii kitu? Tumeona dhahiri shahiri ufisadi upo ndan ya taasis refer report ya CAG. Na sio ndan ya wapinzani, raia wa kawaida na viongoz wa dini!!
 
Karibia 75% wamelishwa maneno kuhusu issue ya huo mkataba na wala sio kwamba wameusoma wenyewe na kuuelewa kisha wao wenyewe wakabaini hayo mapungufu.
Nilikubaliana na hoja yako kuwa watanzania ni wezi, na wameshindwa kuendesha miradi miaka 60.

Swali, serikali si ndio inasimamia yote?! Kwa nini usiseme wazi kuwa serikali imeshindwa, tukodi na wazungu waje watuendeshee nchi?!

Pili, kama watanzania ni wezi. Mwizi gani anaweza kukuletea mkataba usio wa kiwizi?!
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.

Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.

Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara

Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo

Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba

Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli

NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC

#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC

Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Ndivyo ilivyo ukiona mapovu mengi kuhusu jambo fulani ujue mara nyingi hao ndio wanufaika wakuu wanahofia kupoteza !!
 
Baada ya kufanya utafiti mdogo imebainika kuwa wengi wa wapiga kelele kuhusu bandari ni wale walio zoea kupitisha mizigo kimagendo yaani kupitisha mizigo kwa kukwepa kulipa malipo halali.

Lakini wengine ni lile kundi ambalo lina danganya nyaraka mfano mtu kaingiza kontena 100 akidai kwamba ndani zina mtumba lakini kati ya hizo kontena 100 kuna kontena 20 au 40 ndani zina magari ya kifahari mtakumbuka makontena yaliyo kamatwa ndani yakiwa na range rover mpya wakati yalisadikika ni mitumba ya furniture.

Kundi lingine ni wale wanufaika wa rushwa na wizi hapo bandarini katika uendeshaji na usimamizi na ndio maana kama mnakumbuka hata wakati wa zama za magufuli kulikuwa na kesi ya mita za kusoma mafuta kuhujumiwa kila mara

Lakini pia kuna taasisi za kidini ambazo pia kupitia msamaha wa kodi zilikuwa zina pitisha bidhaa binafsi kwa mgogo wa taasisi wakati huo kilichomo ndani ya kontena sicho kunacho paswa kuwepo

Hao ndio wengi wanapiga sana kelele maana wanaziona kabisa dalili ya mirija yao kuziba

Wanzania ni wezi na wabinafsi hatuna uwezo wa kusimamia miradi ya serikali huo ndio ukweli

NASHANGAA KWANINI TRENI YA MWENDO KASI DAR -MORO BADO HAIJAANZA KUFANYA KAZI HADI SASA = JIBU hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushiriliana na TRC

#NASHANGAA KWANINI MAPENDEKEZO YA NAULI YA TRENI YA MWENDO KASI NAULI ZILIKUWA GHALI MARA MBILI YA MABASI =JIBU Hujuma za wenye mabasi ya abiria kwa kushirikiana na TRC

Kwa style hii bora tuwape wawekezaji nalubariki hilo 100%
Bandari ni mali asilli za Taifa nadhani kuna mengi ya kujifunza kwenye hili kumbuka bandari nyingi zinaunganisha nchi zingine kama lango la kuingiza na kutoa bidhaa, (logistic business),kuna mambo ya usalama hapo mimi napendekeza kuwe na ubia wa kibiashara utengenezwe muundo ambao ni rafiki lakini siyo kuwaachia wao kuendesha peke yao . In entrepreneurship we learn how to do business not about business
 
Nilikubaliana na hoja yako kuwa watanzania ni wezi, na wameshindwa kuendesha miradi miaka 60.

Swali, serikali si ndio inasimamia yote?! Kwa nini usiseme wazi kuwa serikali imeshindwa, tukodi na wazungu waje watuendeshee nchi?!

Pili, kama watanzania ni wezi. Mwizi gani anaweza kukuletea mkataba usio wa kiwizi?!
Nakubaliana na wewe nikweli kabisa serikali imeshindwa hilo wala halina ubishi wowote ule

Kuhusu mkataba inawezekana kabisa una mapungufu au una upigaji ndani yake lakini nadhani kuhusu mkataka hebu tusilishane maneno kwanza tuvute subira
 
Bandari ni mali asilli za Taifa nadhani kuna mengi ya kujifunza kwenye hili kumbuka bandari nyingi zinaunganisha nchi zingine kama lango la kuingiza na kutoa bidhaa, (logistic business),kuna mambo ya usalama hapo mimi napendekeza kuwe na ubia wa kibiashara utengenezwe muundo ambao ni rafiki lakini siyo kuwaachia wao kuendesha peke yao . In entrepreneurship we learn how to do business not about business
Naungana na wewe kwenye hilo
 
Nilikubaliana na hoja yako kuwa watanzania ni wezi, na wameshindwa kuendesha miradi miaka 60.

Swali, serikali si ndio inasimamia yote?! Kwa nini usiseme wazi kuwa serikali imeshindwa, tukodi na wazungu waje watuendeshee nchi?!

Pili, kama watanzania ni wezi. Mwizi gani anaweza kukuletea mkataba usio wa kiwizi?!
Nakumbuka wakati Mwalimu yupo madarakani alipata kusema hivi-:

Kiongozi anapofanya teuzi mbalimbali katika nchi anakuwa ni sawasawa na mtu ambaye amechukua ndoo na kwenda kisimani kuchota maji,

Akifika kisimani ataiteremsha ile ndoo kwenye kisima kisha atateka maji na kuondoka nayo kwenye ndoo yake !
Ila ukumbuke kwamba hayo maji yaliyomo kwenye ndoo ndio hayo hayo kama yaliyobaki kisimani !

Hata ukiyamwaga utaenda kuyachota tena palepale kisimani ! Sijui Mwalimu alikuwa anamaanisha nini 😅😅 ! R.I.P Mwalimu 🙏🙏🙏
 
Nakumbuka wakati Mwalimu yupo madarakani alipata kusema hivi-:

Kiongozi anapofanya teuzi mbalimbali katika nchi anakuwa ni sawasawa na mtu ambaye amechukua ndoo na kwenda kisimani kuchota maji,

Akifika kisimani ataiteremsha ile ndoo kwenye kisima kisha atateka maji na kuondoka nayo kwenye ndoo yake !
Ila ukumbuke kwamba hayo maji yaliyomo kwenye ndoo ndio hayo hayo kama yaliyobaki kisimani !

Hata ukiyamwaga utaenda kuyachota tena palepale kisimani ! Sijui Mwalimu alikuwa anamaanisha nini 😅😅 ! R.I.P Mwalimu 🙏🙏🙏
If you do not know where you are going any road or path will take you there, (km uendako hukujui njia yoyote itakupeleka usiko kujua)
 
Ni kweli kabisa tumeshindwakwa 100% na kwanini tumeshindwa ni kutokana na serikali kuendelea kulea wezi na mafisadi kwa sababu kwanza ni ma kada wa chama tawala wenye VVIP card na niwafadhili wakubwa wa chama na serikali.

Kwaiyo tuna kubaliana kuwa ccm haitufai?
 
Mzeee mbona huelewi kiswahili ? Wewe unanisakama mimi kwani mimi DPWORLD au mimi ni TPA? Hebu jifunzeni kujadili mada na sio kumjadili mtu,

nimekupa uhuru hapo wewe andika yakwako unayo jua na mimi niandike ya kwangu lakini naona bado huelewi,

wewe andika hayo ya majukumu ya TPA na TRA kwa sababu unayajua vyema mimi nitaandika umuhimu wa kuachana na watanzania kwenye kusimamia miradi ya umma kwa sababu ya wizi na uhujumu ni hivyo tu mbona nimekuruhusu kuyaandika uanayo yajua sasa kashfa na manenobya kike ya nini hapa mzee , we tumia uhuru na ujuzi wako tueleze majukumubta TOA na TRA sisi ambao hatujui si ni hivyo tuu!
Sawa twende na mawazo yako Watanzania wanaibaje hapo badarini tuelimishe tuelewe

Kama mamlaka zote ziko hapo bandaruni TRA pesa zao inaingia kwenye account ya Serekali mojakwamoja ukisha lipia unapewa release order na TRA Kisha unaenda bandarini TPA wanakupa invoince unalipa pesa zao moja kwamoja kwenye account za TPA

Niambia watanzania tunaibaje hapo hapo bandarini Au tuna haki account za Serekali?
 
Kumbukumbu wanaolalamika ni wapinzani, raia wa kawaida na viongoz wa dini! NB: Mbona wezi na mafisad hawalalamiki kuhusu hii kitu? Tumeona dhahiri shahiri ufisadi upo ndan ya taasis refer report ya CAG. Na sio ndan ya wapinzani, raia wa kawaida na viongoz wa dini!!
Hivi ni kweli Hujui kwamba ndani ya serikali wapo ambao hawajapenda kabisa bandari kupewa muwekezaji na hao ndio waathirika namba moja endapo kweli muwekezaje atawekeza na kuendesha bandari kisasa kama inavyo daiwa?

Kwa sababu hiyo itaondoa na kuua madili mengi sana pale bandarini? Unadhani wanao pitisha mizigo kwa magendo pale bandarini ni wapinzani au hao wananchi wa nanjilinji?

Unadhani waziri au kada kindaki ndaki mwenye madili yake pale bandarini anaweza kusimama kwenye media na kupinga maamuzi ya serikali inayo tokana na chama chake?

Sasa hao hao ndio wanao pitishia hoja zao kwa wapinzani na wanaharakati ili wawasemee na kulalamikia swala la kumpa muwekezaji bandari

# ifahamike kwamba swala la usahihi au mapungufu ya huo mkataba wa DP WORLD sio hoja yangu#
 
Mimi nipo nalima huku Nanjilinji na ninaupinga huo mkataba kwa nguvu zote. Hayo maslahi niliyonayo kwenye Bandari ni yepi?

Hoja yako imepoteza uhalali

Wewe ni katika wale mliodanganywa na hilo kundi .
 
Back
Top Bottom