Mzeee mbona huelewi kiswahili ? Wewe unanisakama mimi kwani mimi DPWORLD au mimi ni TPA? Hebu jifunzeni kujadili mada na sio kumjadili mtu,
nimekupa uhuru hapo wewe andika yakwako unayo jua na mimi niandike ya kwangu lakini naona bado huelewi,
wewe andika hayo ya majukumu ya TPA na TRA kwa sababu unayajua vyema mimi nitaandika umuhimu wa kuachana na watanzania kwenye kusimamia miradi ya umma kwa sababu ya wizi na uhujumu ni hivyo tu mbona nimekuruhusu kuyaandika uanayo yajua sasa kashfa na manenobya kike ya nini hapa mzee , we tumia uhuru na ujuzi wako tueleze majukumubta TOA na TRA sisi ambao hatujui si ni hivyo tuu!