TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Dawa ni kuwaelekeza hao 75% kwa kuwaonyesha vifungu vya mkataba vinavyoonyesha ukweli wa mambo ili uaminike. AsanteKaribia 75% wamelishwa maneno kuhusu issue ya huo mkataba na wala sio kwamba wameusoma wenyewe na kuuelewa kisha wao wenyewe wakabaini hayo mapungufu.